Pre GE2025 CHADEMA wanaandaliwa na CCM kwa ajili ya 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Mambo siyo mambo mtu wao hakubaliki na wenye dunia 2025 ndiyo mwisho sasa chadema wanapashwa kufanya mapinduzi kama ya akina raila na uhuru kenyata, 2025 tuna raisi mpya.

its just too complicated lkn wako pamoja wanajipanga against raisi mpya 2025, moto utawaka ccm na chadema vs globalists.

2025 tuna raisi mpya …
 
🀣 🀣 🀣 πŸ’­
 
Mama Kizimkazi 2025 Hana chake hata ccm wenye akili wanajua hilo ila wapuuzi kama machawa makunguni watapigwa sapraiz
 
Mama Kizimkazi 2025 Hana chake hata ccm wenye akili wanajua hilo ila wapuuzi kama machawa makunguni watapigwa sapraiz
Urais sio bkshishi Kwa mtu elewa hivyo.

Utake au usitake,uchague u usichague Rais ni Samia ,hayo mengine ni kujifariji tuu
 
Samia hatogombea , tafuta kazi ndugu
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

Narudia tena kukwambia Urais sio bakshishi au Zawadi ya kumfurahisha mtu Bali ni nafasi adhimu Kwa watu wenye akili za kufanya mambo makubwa kama haya πŸ‘‡

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1748637751115714890?t=ZNZwntOCI0cfX4nbYDA24Q&s=19
Mwisho Rais ni Samia ,nyie Wapambe wengine endeleeni kula vya Mbowe.
 
Hizo ni ndoto tu unaota. Ukijisikia unaona choo, shituka uamke au la utakata gogo kitandani.

Rais Samia ni chaguo la Mungu na tunaye hadi 2030. Yule mliyependa nyinyi Mungu alimwondoa kwa UDHALIMU wake. Hata kama Δ₯umpendi jiandae kisaikolojia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…