CHADEMA, Wanaharakati waalikeni waungwana mpatanishwe

Hata hivyo na wachawi nao (ma CCM) hawachezi mbali. Ninatambua hao kama walivyokuwa kenge kwenye msafara wa mamba nao wamo.

Hao watafanya kila kitu kutufarakanisha. Ninasema kila kitu nikiwa ninamaanisha hivyo.
Kwenye hili, swala la kutambuana na kuzoeana ndo mahala pake. Tuwe tayari kwalo.
 
CHADEMA imegombana na wanaharakati gani? Au kuna wanaharakati uchwara wanalazimisha ugomvi na CHADEMA Ili wapate mileage?
Kati ya Chadema na akina Mwabukusi nani ni uchwara?Mbowe na genge lake miaka zaidi ya 20 now wameachieve nini?Upinzani sio kupiga kelele, upinzani ni kufanya utawala ubadili Maamuzi yake katika kile walichokua wanafanya. Toka unaijua Chadema, ni jambo gani limewahi kwama kwa watawala kisa wao?Au zile za kutoka nje bungeni ndio upinzani?Tunataka upinzani ambao ukisema jambo flani haliwezekani basi kweli watawala watii.
 
Chadema kama chama cha siasa ilitakiwa kwa haraka sana kuwadaka akina Mwabukusi kama kete muhimu ya kuongeza nguvu ya ukombozi. Tumeona CCM ikiona mtu flani anaushawishi katika kundi flani basi hufanya haraka kumnasa na kuanza kumtumia. Tofaut na Chadema wao wanawaona akina Mwabukusi ni tishio na wanaweza kuwa na power zaidi ya baadhi ya top layer kwenye chama. Ndio huwa nasema Chadema sio chama cha SIASA bali genge la wahuni
 

Kwamba haya ni mawazo yako:



Kwenye uzi huu:

Tundu Lissu, acha kumshambulia Hayati Magufuli

Hudhani kuwa wakaanga mbuyu, uzi huu hauwahusu?

Baba paroko (Joni) Lumumba pale. Si tulikubaliana siasa za kistaarabu?

Kumbe inakuwa je tena?
 
CHADEMA imegombana na wanaharakati gani? Au kuna wanaharakati uchwara wanalazimisha ugomvi na CHADEMA Ili wapate mileage?
Huyu anaumwa!! Anataka Chadema ipoteze muda na wahuni kama akina Mwabukusi na Mdude? Serious?
 
Why not ACT au CUF?
 

Maneno marefu hayaeleweki unayoyasema
 
"Pambana na mada (au hoja), si mleta mada (au hoja)."

Huo ndiyo ustaarabu wa msingi JF inatuhitaji sote kuwa nao. Hilo si ombi.

Zaidi sana wakatupa na ka "button" ka "ignore" kwa mjumbe yeyote asiyekuwa tayari kuzingatia masharti, na kama inavyoweza kutupendeza (sisi kama wajumbe).

"Nilikuwa sijataka kukatumia ka 'button' hako kwako bila ya kukumbusha. Tena kistaarabu na kiroho safi tu."
 
Teh teh teh wewe ni Mwabu au mdude?

Miye siyo hao, wala sina sababu ya ku aspire kuwa wao.

Zaidi sana nikuwekee uzi wangu huu hapa:

Watambue Wanachama wa Vyama Mitandaoni

Huo ni wa Jun 29, 2021 huko.

Zingatia mada mezani haikuandikwa kwa wajumbe kama hao.

Mada hii iko wazi kuwa imeelekezwa kwa:

"CHADEMA na Wanaharakati (wote ndani na nje), ikiwapendeza, waungwana kabisa."

Mkuu wewe ni mmoja hawa "waheshimiwa kabisa" hao, nilio waandikia mimi kama mwananchi mdau?

Uliliona neno "ikiwapendeza?"

Kumbe, kulikoni makasiriko yako haya na kuitana majina ndugu kwako kama ni mletewa mada au la?

Moisemusajiografii, nduguyo mwingine huyo:

"Utakumbuka tulitoka salama huko. Kwamba kukumbushana kuwa ustaarabu ni jambo la bure si dhambi.

Tofauti za mawazo kulikoni zisitufanye ustaarabu kututoka na kuuvaa uhayawani?"
 
Wewe ni mpumbavu kama wapalestina
 
Kama wanao huo utashi wa kupatana kwanini watafute mtu wakati wanajua kinachotakiwa kufanyika "kupatana" si wanaamua tu wanasamehe yaliyopita?
 
Kama wanao huo utashi wa kupatana kwanini watafute mtu wakati wanajua kinachotakiwa kufanyika "kupatana" si wanaamua tu wanasamehe yaliyopita?

Logically huwa ni hivyo, kama "utashi" upo na pia "nia njema" ipo. Hapo mtu wa tatu huwa hahitajiki.

"Nia njema" isipokuwapo
hata kama "utashi upo," mapatano yanaweza kuambatana na masharti ambayo yanaweza yasiridhiwe na upande wa pili.

Isipokuwapo "nia njema," (kama utashi upo) ni busara kuwa na mtu wa tatu. Huyu huwa ni mtu mwenye kuheshimika na kuaminika na pande zote mbili, kuwa kama mediator.

Kwamba kwa hawa ndugu, kama ionekanavyo, wote utashi upo. Kwamba hawajapatana ila kuzodoana kunaendelea kusikika, huenda kutakuwa na hili tatizo la "nia njema."

"Utawaacha wapendwa kusambaritika, kama labda tu, mtu wa tatu angeweza kuwanusuru wasisambaratike? Ikizingatiwa kama kutosambaratika ni Kwa muhimu kwao?"

Huu ndiyo ulio msingi pekee wa mada hii kutoka kwa mwananchi mdau, kwenda kwa waheshimiwa kabisa, hao.
 
Haitupendezi. Kila mtu apambane kivyake
 
Kwa hiyo kwa akili yako ya kipuuzi unadhani upinzani unaletwa na Chama,Yaani unekalisha matako huko CCM unalamba miguu ya kina Nape Halafu unabana pua hapa eti Unataka upinzani wa hivi
Anzisha wewe na babaako huo upinzani,JINGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…