Mzee Slaa na Mwabukusi Tajiri Yao mmoja, wanalazimika kuwa pamoja hata kama hawapendani au wanatamani kuwa tofautMwabukusi, na mdude wakaribishwe chadema maana kule NCCR serikali imesha pora chama na Mwabukusi pale hachomoi. Mahala pekee anaweza kufikisha ujumbe wake ni akiwa chadema, lakini akikubali Dr.Slaa ammiliki hatofika popote.
Aachane na Dr.Slaa ajiunge Chadema.
Mwabukusi siyo mwanaharakani,ni mwanasiasa,mwanachama wa NCCR Mageuzi na moonbeam ubunge Busokelo 2020
Msimfiche kwenye uaharakati na kuisumbua CDM kisa yeye,Ana Chama chake akitumikie na akitumie kufanya mambo yako.
Mzee Slaa na Mwabukusi Tajiri Yao mmoja, wanalazimika kuwa pamoja hata kama hawapendani au wanatamani kuwa tofaut
ni kama Haji Manara na Ally Kamwe hata kama hawapatani lazima washirikiane na mmoja aki post lazima mwingine a like ili kwenda sambamba na masharti na maelekezo ya GSM
Slaa na Mwabukusi ndiyo walianzisha utengano na ndiyo walishadadia utengano,wafanye kazi kwenye vyama walivyoviamini waiache CHADEMA kama ilivyoUngali ukichanganya Mwabukusi na wanaharakati.
Pamoja na kuwa mada ni kuhusu wanaharakati na si Mwabukusi, labda:
Tuzitambue tofauti za vyama vya upinzani (ACT, CHADEMA, CUF, nk) na Wanaharakati
Bila shaka Uzi huo utakuonyesha:
1. Kwa nini kusigana kwa Chadema na Wanaharakati.
2. Kusigana kwa Chadema na Slaa na Mwabukusi.
Hata hivyo nikukumbushe kubakia kwenye mada ukizingatia ujumbe ulikuwa;
1. ni ushauri wa bure kwa waheshimiwa kabisa
2. Tena ikiwapendeza. Si lazima.
3. Kwa wanachama wa kawaida ambao utambulisho wao uko hapa:
Watambue Wanachama wa Vyama Mitandaoni
4. Kumbuka hakuna mwenye hati miliki ya uanachama kwenye chama.
5. Hakuna mwanachama anayeweza kujinasibu kuwa mwanachama zaidi kuliko mwingine.
View attachment 2781900
Kwenye huu Uzi:
Tetesi: - Wapo wapi Lema na Sugu?
View attachment 2782202
Fikirieni mara 2 walia machozi ya mamba kina Pohamba ndiyo waunga mkono wenu wakubwa leo kwenye hoja zenu uchwara hizi za kuushadadia utengano.
Muelewe vipi au hadi tukutane ana kwa ana kwenye mikutano ya vyama?
Slaa na Mwabukusi ndiyo walianzisha utengano na ndiyo walishadadia utengano,wafanye kazi kwenye vyama walivyoviamini waiache CHADEMA kama ilivyo
Sijui, ila kam ndio hivyo basi Mwabukusi anajipotezaMzee Slaa na Mwabukusi Tajiri Yao mmoja, wanalazimika kuwa pamoja hata kama hawapendani au wanatamani kuwa tofaut
ni kama Haji Manara na Ally Kamwe hata kama hawapatani lazima washirikiane na mmoja aki post lazima mwingine a like ili kwenda sambamba na masharti na maelekezo ya GSM
Hivyo CCM nayo inamalengo tofauti na lile la kuwatumikia wananchi? Au hii ina vihusu vyama visivyo madarakani tu?Vyama vya upinzani na wanaharakati ni makundi mawili tofauti yenye mwonekano wa kufanana lakini kiuhalisia ni yenye kutofautiana.
Uzi huu unahusika:
Tuzitambue tofauti za vyama vya upinzani (ACT, CHADEMA, CUF, nk) na Wanaharakati
Makundi yote mawili hujinasibu kumtumikia mwananchi kwenye agenda za ukombozi ila yana malengo tofauti.
Hivyo CCM nayo inamalengo tofauti na lile la kuwatumikia wananchi? Au hii ina vihusu vyama visivyo madarakani tu?
Sijui, ila kam ndio hivyo basi Mwabukusi anajipoteza
Hayo mawazo yako.
CCM wantumikia matumbo yao na familia zao. Wanachota mali ya umma kwa maslahi yao binafsi hawautumikii umma.Kuwatumikia wananchi maana yake ni kuwasikiliza na kutenda wanayotaka. Kwa maana ya kuwa huwezi kujinasibu kuwatumikia wananchi kama wewe siyo muumini wa demokrasia.
Suala la bandari, Katiba mpya, report za CAG, kadhia lawa Masai na mengi yanaonyesha CCM wanamtumikia nani.
Kwamba nchi Inahitaji ukombozi ni kwa kuwa CCM wanajitumikia wao si wananchi.
Hayo mawazo yako.
CCM wantumikia matumbo yao na familia zao. Wanachota mali ya umma kwa maslahi yao binafsi hawautumikii umma.
Kunahaja kuwa na vikundi kama Hamas kwenye vyama ili kukata kiu kama yangu, kuondoa takataka za ccm kwa nguvu maana sasa imekuwa too much.
Kwani akina Mbowe hawana mtu wa kupiga naye dili tena CCM 2025 hadi wahangaike na akina Slaa?Mwabukusi Alihama CHADEMA baada ya kushindwa uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa,Alihama kwa kuahidiwa ubunge wa Busokelo na Mbatia kwa msaada wa Magufuli.
Leo anataka kuitumia CDM kujibebea umaarufu,abaki huko huko NCCR asitake CHADEMA ionekane mbaya kwa tamaa zake
Halafu Dr Slaa ni mvurugaji wa madili.Mwabukusi, na mdude wakaribishwe chadema maana kule NCCR serikali imesha pora chama na Mwabukusi pale hachomoi. Mahala pekee anaweza kufikisha ujumbe wake ni akiwa chadema, lakini akikubali Dr.Slaa ammiliki hatofika popote.
Aachane na Dr.Slaa ajiunge Chadema.
Ana wivu uliopitiliza. Kanisani aliharibu, kwenye siasa anaharibu, sijui hata kama anaelewa anachokitaka. Hta serikali ikitekeleza kila kitu wanachotaka, Dr.Slaa bado hato ridhika.Halafu Dr Slaa ni mvurugaji wa madili.
2015 ilikuwa imebaki kidogo tu atuharibie dili letu na Lowasa.
Ana wivu uliopitiliza. Kanisani aliharibu, kwenye siasa anaharibu, sijui hata kama anaelewa anachokitaka. Hta serikali ikitekeleza kila kitu wanachotaka, Dr.Slaa bado hato ridhika.
Kwanza ningependa kuwashukuru Mbowe na Lissu kwa kuweza kukaa kimya na kuficha Tofauti zao za Kisiasa chamani. Ni jambo zuri na Tuwaombee waweza kupatana, kwani Tanzania Inahitaji Chama cha Upinzani madhubuti . Pia natoa Shukrani kwa Vyama veginevyo vya Upinzani kama ACT na hata Chama Tawala, kwa kutotumia Fursa hii ya Mgogoro wa Chadema kwa manufaa yao.
Tukumbuke mara nyingi tatizo ndani ya Chadema ni Uongozi, tokea enzi ya Marehemu CHACHA WAngwe, ZITTO na SUMAYE, Lakini safari hii kwa sababu LISSU hakujitokeza waziwazi ila kwa Vitendo ndio maana hatuoni KAMPENI na kelele za nani ashike uongozi wa Chadema.
Tuwaombee kila la kheri