CHADEMA, Wanaharakati waalikeni waungwana mpatanishwe

Huyo Dr.Slaa ni kigeugeu, hana anachokisimamia na hajitambui, labda uzee. Alikuwa chadema baada ya kuiona ana nguvu kuliko chama akaanza kukitikisa, alipoona hakitikisiki alijiondoa kwa mbwembwe akidhani CHADEMA ingekufa, haikufa. Sasa karudi badala kufanya yanayomuhusu na hilo dubwasha lake la sauti ya watanzania, anataka kuihujumu chadema.
Hana maana tena, na hana sifa unazompa. Unapoteza muda wako kwa huyo Dr.Slaa.
 

Umeondika kama nabii au supernatural au umeongea nao. Ukiambiwa thibitisha utaweza? Je ni Slaa, mwanaharakati aliye na taabu na CDM pekee siku za Hapa karibuni?

Kwani kina huko nje nako, hapa ndani
napo imekuwa je?

Waungwana wanasemea ukienda kunyoa, vinyozi 5 wote una taabu nao shida inaweza kuwa ni kichwa chako!

Kwa vile hatuna access na supernaturals, hudhani hawa:

"Sheikh Ponda, Askofu Bagonza, Askofu Niwemugizi, Prof. Shivji, Askofu Mwamakula (pole zake kwa msiba) nk, nk, kwenyo jopo la upatanisho wangetuvusha kutoka kwenye huu umimi:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…