CHADEMA wanakiri udhaifu wao kwa vitendo; Mbowe yuko busy anawajazia fomu wagombea wa CHADEMA uchaguzi wa serikali za mitaa

CHADEMA wanakiri udhaifu wao kwa vitendo; Mbowe yuko busy anawajazia fomu wagombea wa CHADEMA uchaguzi wa serikali za mitaa

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
mwaka 2019 wagombea wengi wa CHADEMA walienguliwa kwa sababu ya mapungufu makubwa kwenye ujazaji wa fomu za uteuzi. Mwaka 2024 CHADEMA wamejifunza somo sasa viongozi wote wanawasaidia kujaza fomu ili lisiwapte la 2019. Ni jambo jema kukiri makosa kwa vitendo










FRV. Gaspar E. Temba

@ItsTemba
·
15h

Mapema leo Mbunge wa wananchi wa Jimbo la Muheza Mh. Yosepher komba
@yosepherfkomba
akiongoza zoezi la ujazaji wa fom Kwa wagombea katika kata ya Ngomeni ikiwa ni muendelezo wa zoezi hilo lililo anza jana Oct 26/2024#WatakeWasitake
 
mwaka 2019 wagombea wengi wa CHADEMA walienguliwa kwa sababu ya mapungufu makubwa kwenye ujazaji wa fomu za uteuzi. Mwaka 2024 CHADEMA wamejifunza somo sasa viongozi wote wanawasaidia kujaza fomu ili lisiwapte la 2019. Ni jambo jema kukiri makosa kwa vitendo





FRV. Gaspar E. Temba
@ItsTemba
·
15h

Mapema leo Mbunge wa wananchi wa Jimbo la Muheza Mh. Yosepher komba
@yosepherfkomba
akiongoza zoezi la ujazaji wa fom Kwa wagombea katika kata ya Ngomeni ikiwa ni muendelezo wa zoezi hilo lililo anza jana Oct 26/2024#WatakeWasitake
Kwamba ndio unaona umetupoteza maboya kuhusu uhayawani uliofanywa na dhalimu magu kwenye uchaguzi ule?
 
Back
Top Bottom