CHADEMA wanakosea, Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha

CHADEMA wanakosea, Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha

Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.

Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu .....
Yaani nyinyi vilaza kweli ambao hamjui kesho yenu mtabakia kukenua meno tu kwa kila jambo litendwalo na maccm wenzenu hata kama mnanyweshwa sumu
 
Ulitaka washirikishwe vipi, hebu sema ili tuone huo ushirikishwaji maana hii ni mikutano ya ndani na haitakiwi, huo ushirikishwaji unafanyikaje
Hao ni maharamia wa lumumba
 
Umechukua jitihada gani kukomesha huo uharamia?
SITOENDA KUPIGA KURA MAISHA YANGU na nataman wananchi wote wawe km mm WOTE TUSUSE io njia ya kuandamana mtapigwa mtavunjwa mtaharibiwa malengo yenu bure wote TUSUSE takiulizwa kwann tunasema tunataka katiba mpya na taasisi za kimataifa zitaungulua kati
 
SITOENDA KUPIGA KURA MAISHA YANGU na nataman wananchi wote wawe km mm WOTE TUSUSE io njia ya kuandamana mtapigwa mtavunjwa mtaharibiwa malengo yenu bure wote TUSUSE takiulizwa kwann tunasema tunataka katiba mpya na taasisi za kimataifa zitaungulua kati
Uzuri wa hii katiba hata akipiga kura mtu mmoja mshindi anatangazwa
 
Uzuri wa hii katiba hata akipiga kura mtu mmoja mshindi anatangazwa
bora io itaingia ikulu kwa aibu
kuliko kufantwa fala kujaza watu mkampinga na bado akashinda anajiona yeye ndio yeye
 
Hoja yake ina mashiko, leo nilikuwa naongea na Majirani zangu nikawauliza kuwa wao wanajali Katiba mpya au kuondolewa tozo kwenye miamala, wakasema tozo iondolewe kwasababu inawatesa 😁
 
S
Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.

Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu .....
sasa wananchi watashikirishwaje bila kupewa elimu kupitia makongamano kama hili lililotakiwa kufanyika Mwanza?
 
Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.

Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu .....
Ndiyo wameanza kushirikishwa kwenye makongamano kama hilo la Mwanza.
 
Akuna cha kushirikishwa wala nini,wamwache mama ajenge nchi,mbona wakati wa Magu hawakufanya haya au wanamjaribu mama kwasababu ni famee.
 
Ukiacha kushika dola, kazi nyingine muhimu ya chama cha siasa ni kutoa elimu ya uraia kupitia mikutano, mihadhara, makongamano na mijadala hapa ndipo serikali ya CCM haitaki iyo kitu maana hawataki kuwafumbua macho raia, kwa sababu wanataka kuendelea kutawala wajinga. Sasa kwenye suala la katiba kimsingi vyama vya siasa, mashirika na asasi mbalimbali zilitakiwa wawe wanapewa nafasi kutoa elimu ila serikali inakataa kupitia polisi kwamba wanavuluga usalama lakini ironically sio usalama ni ugali wa CCM maana mtaji wao ni ujinga wa watu
 
Watashirikishwa lini? Mliwahi kukaa mezani na Chadema kujadili hili? Mnapita tuu na vipaza sauti na kusema kuna watu wameanza choko choko.
Ndio ukileta chokochoko ndio mnakalishwa jera

USSR
 
Mjiulize tu swali moja. Ingekuwa CCM wangefanyiwa haya. Je haki unaipata ukiwa CCM tu. Upinzani hauna haki ya kutoa Elimu ya kiraia kwa mamba mbalimbaki ikiwemo katiba mpya?
Yaani Nyerere angekuwa hai Kuna watu huko CCM wangelamba bakora za kutosha kwa upuuzi wanaoufanya.
CCM hawawezi kufanya ujinga huu


USSR
 
Back
Top Bottom