Yaani nyinyi vilaza kweli ambao hamjui kesho yenu mtabakia kukenua meno tu kwa kila jambo litendwalo na maccm wenzenu hata kama mnanyweshwa sumuKatiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.
Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu .....
Hao ni maharamia wa lumumbaUlitaka washirikishwe vipi, hebu sema ili tuone huo ushirikishwaji maana hii ni mikutano ya ndani na haitakiwi, huo ushirikishwaji unafanyikaje
SITOENDA KUPIGA KURA MAISHA YANGU na nataman wananchi wote wawe km mm WOTE TUSUSE io njia ya kuandamana mtapigwa mtavunjwa mtaharibiwa malengo yenu bure wote TUSUSE takiulizwa kwann tunasema tunataka katiba mpya na taasisi za kimataifa zitaungulua katiUmechukua jitihada gani kukomesha huo uharamia?
Uzuri wa hii katiba hata akipiga kura mtu mmoja mshindi anatangazwaSITOENDA KUPIGA KURA MAISHA YANGU na nataman wananchi wote wawe km mm WOTE TUSUSE io njia ya kuandamana mtapigwa mtavunjwa mtaharibiwa malengo yenu bure wote TUSUSE takiulizwa kwann tunasema tunataka katiba mpya na taasisi za kimataifa zitaungulua kati
bora io itaingia ikulu kwa aibuUzuri wa hii katiba hata akipiga kura mtu mmoja mshindi anatangazwa
Huyu maza hatomboi mitano atamfuata dikteta mwenzakebora io itaingia ikulu kwa aibu
kuliko kufantwa fala kujaza watu mkampinga na bado akashinda anajiona yeye ndio yeye
sasa wananchi watashikirishwaje bila kupewa elimu kupitia makongamano kama hili lililotakiwa kufanyika Mwanza?Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.
Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu .....
Ndiyo wameanza kushirikishwa kwenye makongamano kama hilo la Mwanza.Katiba ni kipaumbele kweli lakini bado wananchi hawajashirikishwa vya kutosha.
Wakishirikishwa vya kutosha nguvu itakuwa kubwa mno ktk kudai katiba,, watawala wataogopa tu .....
Ndio ukileta chokochoko ndio mnakalishwa jeraWatashirikishwa lini? Mliwahi kukaa mezani na Chadema kujadili hili? Mnapita tuu na vipaza sauti na kusema kuna watu wameanza choko choko.
CCM hawawezi kufanya ujinga huuMjiulize tu swali moja. Ingekuwa CCM wangefanyiwa haya. Je haki unaipata ukiwa CCM tu. Upinzani hauna haki ya kutoa Elimu ya kiraia kwa mamba mbalimbaki ikiwemo katiba mpya?
Yaani Nyerere angekuwa hai Kuna watu huko CCM wangelamba bakora za kutosha kwa upuuzi wanaoufanya.
Nchi inaongozwa na majaliwa hiiHuyu maza amechanganyikiwa maana hakuna la maana anafanya
Inawezekana ni kweliNchi inaongozwa na majaliwa hii
Sio inawezekana ndio hali ilivyo huko nyuma ya paziaInawezekana ni kweli
Sawa mkuuSio inawezekana ndio hali ilivyo huko nyuma ya pazia
Ndio siasa, wako watakuunga mkono, na wengine hawata kuunda mkono. Waite jina lolote lakini ndio wapiga kura.Hawana akili kabisa hawa misukule ya mwenda zake
Kwani mna dawa ya kuwauwa viongozi wa CCM ?Huyu maza hatomboi mitano atamfuata dikteta mwenzake