CHADEMA wanakosea kwenye mpangilio wa kuomba Katiba Mpya

Umeeleza vizuri hasa kuhusu wakati kuwa bado ni mapema na pia janga la corona. Tusiharakishe.
 
Huyo mpuuze kwani ni mpuuzi, atakupotezea muda.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nashauri namna ya kudai katiba , sijasema ssh hana makosa.
Angalau anaachia mwanya watu wapumue. Ni muhimu kutumia huu mwanya kwa hesabu makini la sivyo kuna uwezekano tukapata kiongozi wa kwanza wa kiislam katili(Mwinyi na Kikwete walikuwa waungwana sana) . Na sababu zipo wazi - amefanya kazi bega kwa bega na dikteta hivyo kumuiga ni swala la kubonyeza batan tu. Si umeona ameanza hotuba za kwenye magari! Kinachofata ataanza kugawa hela barabarani kwani nyuma yake kuna nguvu kubwa ya genge linalofurahia udikteta.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Udikteta kwao genge ni kumuenzi bwana wao, muungu wao. Si ajabu wameanza angalau kutabasamu. Ila bado wanataka kuona ukatili zaidi kama wa zamani hivyo wataendelea kushinikiza na kumzunguka ili angalau matendo ya bwana wao yaenziwe. Kazi ipo.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nani anaomba katiba Tunataka katiba sio ombi

Yaani mnatupangia jinsi ya kupata katiba

Ccm toka lin wakataka ustarabu?
Bro kama unataka si andika tu hata leo. Hahahhhahaa..! Acheni kujidanganya Chama Tawala pekee ndio chenye ridhaa ya kuleta katiba mpya msijifanganye
 
CHADEMA wamebeba malengo mazuri lakini wanapita njia chafu kufikia malengo. Hawatoweza kufika. Malengo mazuri hufikiwa kwa njia nzuri kwani baraka za Mungu huwa ndani yake
 
Kwa ujinga wenu wa kudai katiba mpya, Kwa unafki wa kuvutia kamba kwenu,,,, sidhani kama mtapata hyo mnayoiita " katiba mpya" na watanzania tulivyo wanafki,, Twitter na Jf tunapiga kelele kama mbwa koko ,, ifike muda wa implementation [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Hata mkitaka kuandamana hampati kamwee
 
Hivi ni katiba nzima from page ya 1 had ya 221 au ndo mnataka kuondoa vle vipengele vinanyowakera kwenye sura ya 2-5

Wanasiasa ni mashetani sio CCM wala CDM
 
Nani anaomba katiba Tunataka katiba sio ombi

Yaani mnatupangia jinsi ya kupata katiba

Ccm toka lin wakataka ustarabu?
Basi sawa,

Endeleeni kuitaka, maana hapa mwisho wa siku mwenye nguvu ndio mshindi.
 
Mama hakukosea alisema ukweriii, namsema kweli ni mpenzi wa Mungu,au nasema uongo ndugu zangu.
 
Pia agenda ya katiba iwe jumuishi.Kwa Sasa hivi Ni kama CHADEMA wanataka katiba mpya itakayowezesha upinzani kuingia Ikulu basi au kushiriki uchaguzi bila makandokando.Hii kitu inawafanya CCM waone kama Katiba mpya kwao haina umuhimu.CHADEMA waweke mpango utakaowashawishi Wapenzi wa CCM nao kuona Kuna umuhimu wa Katiba mpya.
Mambo mengi huwa yanafanikiwa kama huwa kunakuwa na uungwaji mkono na watu kutoka CCM.
 
Hili jambo linahitaji akili kubwa ambayo chadema wanaitumia mpaka sasa, sema ww hujagundua

Kumbuka chadema hawahitaji huruma, alafu ujue pia, chadema watampinga kwenye uchaguzi mkuu ujao

Wakianza kubembeleza leo, kwenye kampen watateseka sana, yaani leo chadema itumie rasimali zake kumbembeleza rais alafu rais atende kutokana na kuwaonea chadema huruma, unajua madhara yake? Hata chadema itapoteza wanachama wake maana wapo watakaosema Samia aendelee maana akiombwa anasikiliza

Inanidi chadema watumie mtindo kama wa kulazimisha lakin huku chini wana njia nyingine za kubembeleza ili jamii ione kama sio nguvu ya chadema, jambo flan lisingewezekana, hapo watakuwa wana win kote kote, kwa jamii na kile wanachokitaka

Kesho chadema ikiomba kura, itaonekana inaweza na ina dhamira ya dhat

**** hujaelewa, mwanagile makamu wa kwanza wa rais kule Zanzibar anavyoenda na rais, yy amejua Wazanzibar wanataka nini, moja ni Zanzibar kujitegemea kila kitu, ndo mana pamoja na kushiriki vikao na rais, bado akitoka nje anaisema Zanzibar, mfano ni kusema code ya Zanzibar +259 na sio +255, vitu ambavyo CCM na rais Mwinyi hawawez kusema kwa kuigopa CCM bara
 
Kwa hiyo uvccm mnataka wapinzani wenu waende kuiomba katiba mpya kanisani au misikitini ?!. Katiba mpya ni jambo la wananchi . Kwingine huko watu huitaka kivita, maandamano na vurugu. Lakini WaTz mbona waungwana ?!. Wanaudai kwa maneno tu !!. Tena kwa kumuomba Rais akubali kurejesha mchakato uliosimama .

Tatizo WaTz humfanya Rais kuwa mungumutu asiyehojiwa chochote. Eti afanye kwa hisani !!!
 
CCM siyo chama tena ni genge la wahuni tu
 
unataka watembee kwa magoti,kwanza nani anaomba katiba,ni kwamba wananchi tunataka katiba mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…