900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
huwezi pata maji bila katiba imaraNa sisi wengine tunataka maji na umeme kwanza katiba baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi pata maji bila katiba imaraNa sisi wengine tunataka maji na umeme kwanza katiba baadae
Tindo endelea kuukimbiza UPEPO....
Suala la KATIBA mpya SI JIPYA....
Mbona hamkuvuruga baada ya mchakato ule kujifia mikononi mwa hayati mzee SITA?!!!
Hamkuwepo?!!!!
Mkuu endelea kuota njozi.....
Uchaguzi uliopita mliutengenezea "movies" za kura FEKI na ikathibitika JANJA YENU....
Mama pia ni binadamu mwenye madhaifu yake, naye anaweza kuchukia kama ambavyo mtu yeyote humu anaweza kuchukia. Lakini yeye akichukia tusisahau kuwa ndiye mwenye amri ya mwisho kuhusu vyombo vyetu vyenye silaha za moto (kwa mujibu wa katiba ya JMT)
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mrudishe🤣🤣🤣Kama hataki katiba mpya arudi kwao Zanzibar atuachie nchi yetu
Atarudi hakuna namnaMrudishe🤣🤣🤣
"Atake asitake mi5 tena" mlivyokuwa mnatamka haya maneno mlidhani hii ni nchi ya kiliberali? Kwa nini asilazimishwe wakati sisi ndio tumemuweka hapo alipo? Ndio maana tunasema katiba mpya haiepukiki kwa vile Rais amekuwa na mamlaka makubwa kama MunguSaccos ya CHADEMA ni sikio la kufa.....
Hiki chama cha VICOBA kinamlazimishaje Rais wa Kiafrika?!!!
Tanzania si nchi ya KILIBERALI....
#KaziIendelee
Naunga mkono hojaMimi ni mdau ambaye naunga mkono sana mabadiliko ya Katiba lakini mpangilio wa sasa ambao unaongozwa na CHADEMA sijaupenda na hautasaidia mafanikio haya kwasababu zifuatazo
1. Rais mpya Samia hawezi kukubali kufanya katiba wakati mapema kwa kuzingatia ameingia majuzi tu na kachukuwa madaraka kwenye wakati mgumu kwa mtangulizi wake kupoteza maisha. Hii kwa nchi nyingine ambazo hazina usalama wangeweka " state of emergency" ingawa hatukufika huko Rais anahitaji muda kwanza kupata nguvu na kuungwa mkono kabla ya kudandia suala nyeti na lenye kugawanya watu kama katiba mpya.
2. Corona ni ugojwa ni sio kitu cha kisiasa. Huu ni ugojwa na kuna Watanzania wengi wamepoteza ndugu wengi kuanzia mwaka 2019. Tuliulize ni kitu gani kimetokea kusababisha haya? jibu ni Corona. Corona imeondoa watu wengine ambao hata familia hazijui wamekufa kwanini. Kuna watu wawili ambao nina mfano mmoja ni rafiki yangu wa Ilboru ambaye alikuwa anamiliki mgodi kule Mererani kwenye wimbi la pili alikufa ghafla wakidai alikosa pumzi na kafariki wa kisukari. Familia ikadai apimwe Corona maana alikuwa na miaka 44 tu na sukari yake haikuwa mbaya hivyo! Walivyopima zaidi ya mara moja wakakuta ana Corona.
Juzi pia mzazi wa rafiki yangu naye sukari imepanda akafariki Musoma baada ya familia kulazimisha apimwe wamekuta naye alikufa kwa Corona ingawa kabla ya kupima walisema sukari imepanda. Kwa ufupi huu sio wakati mzuri wa kufanya makusanyiko yoyote yasiyo ya lazima. Kwa msingi huu naunga mkono Rais Samia kwamba huu sio wakati mzuri wa kuanzisha mikutano ambayo inaweza kuongeza na sio kuzuia Corona.
3. Mkutano na Rais: Chadema wanakosea kufanya huu mkutano mkubwa kuliko ulivyo. Chadema kukuza huu mkutano na Rais Samia unamfanya Rais aone kwamba anatakiwa kujiandaa sana badala ya Chadema kuuchukulia mkutano wa kawaida wa kujua. Chadema kwa faida za nchi na kisiasa wanatakiwa kuweka urafiki na Rais na sio kufanya mkutano kama unaenda kukutana na watekaji wako.
Mama anapenda sana umoja, yeye pekee ndiye alienda kumwangalia Lissu Kenya makusudi bila hata kumwambia kiongozi wake Magu. Hata safari ya Kenya inawezekana alilazimisha kwenda Kenya ili akamuone Lissu bila kuwaambia nia yake Chama.
Haya yote kafanya ili Chadema wajue na yeye binafsi aweke rekodi kwamba yeye kama Samia hajahusika kwenye njama zozote za kumuumiza Lissu. Cha ajabu chadema pamoja na kuwa na mtu ambaye ataweza kufanya nao kazi wanataka wampime kijinga kwa kuweka maandamano ambayo yatawasaidia wale ndani ya CCM wanaotafuta sababu za kuwapiga upinzani kwa faida zao.
Chadema ni lazima wajue kule CCM kuna wengi walikuwa wananufaika na biashara za upinzani ilikwa ni pamoja na kutumia pesa za kununua wapinzani nje ya utaratibu, kuunda vikundi vya ajabu, kuomba pesa za teknologia za kurekodi watu, hizo zote ni biashara za mabilioni ambazo Chadema kwa kuleta mikutano ya ajabu itawapa sababu hawa walaji kwenda kwenye chama na kuanza tena kuchukua pesa baada ya kumuogopesha Rais
Mimi nashauri namna ya kudai katiba , sijasema ssh hana makosa.
Angalau anaachia mwanya watu wapumue. Ni muhimu kutumia huu mwanya kwa hesabu makini la sivyo kuna uwezekano tukapata kiongozi wa kwanza wa kiislam katili(Mwinyi na Kikwete walikuwa waungwana sana) . Na sababu zipo wazi - amefanya kazi bega kwa bega na dikteta hivyo kumuiga ni swala la kubonyeza batan tu. Si umeona ameanza hotuba za kwenye magari! Kinachofata ataanza kugawa hela barabarani kwani nyuma yake kuna nguvu kubwa ya genge linalofurahia udikteta.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Uchaguzi wa kishenzi kwako....si kwangu....
Tindo utaendelea kulalamika mpaka uzee wako.....
CCM ni chama cha KIJAMAA....na wajamaa tunaposhika hatamu basi "tutalaumiwa nanyi kila uchao".....
#KaziIendelee
#KatibaYetuNiBofk u
🤣Fk u ,mnaiba na kuua shnz type ....Safari hii hamna k2