CHADEMA wanakosea kwenye mpangilio wa kuomba Katiba Mpya


Hizo kura fake niliziona kwa macho yangu wala sihadithiwi. Tufanye kura ni fake, na ile kuengua wagombea wa upinzani kwa kiwango kile na zile sababu dhaifu nayo ilikuwa ni fake pia? Hata Afrika kusini makaburu walikuwa wanawadhihaki weusi kuwa kudai usawa ilikuwa ni kawaida yao, leo yako wapi? Soma alama za nyakati, Maguvu ya dola yana mwisho wake.
 

Nataka nijibu kipengere hiki tu


Ukiwa kiongozi wa watu hususani ktk ngazi ya Urais wa nchi, itakupasa kushughulika na mambo mengi sana, mojawapo ni dai la katiba mpya...

Watu na serikali wanadhani kwamba dai la Katiba mpya ya wananchi ni la CHADEMA lakini hii siyo kweli. Makundi mbalimbali ya kijamii yanadai hii kitu....

Ila CHADEMA sauti yao ndiyo inayosikika kwa mbali na ukali zaidi na kuwakera wenye mamlaka ya kiserikali na kuanza kutafuta njia mbalimbali kuzuia au kujaribu kukataa hili...

Anyway. Point yangu ni hii:

Mwitikio (reaction) ya serikali chini Rais Samia Suluhu Hassan kwenye hili ni jambo muhimu sana...

Kuwa na mamlaka ya kiserikali, kuwa na nguvu za kijeshi na kuwa na bunduki, siyo ishu hata kidogo. Na ni KOSA KUBWA LA KIUFUNDI iwapo serikali itatumia nguvu yake hii kupambana na wananchi wake wasio na silaha kwa ishu ndogo ya "dai la katiba mpya" ambayo kimsingi ni ya kwao wananchi wala siyo ya watawala...

Nakuhakikishia jambo moja akitumia mamlaka yake vibaya kama unavyoshauri hapa (kuwa awe na hasira kama binadamu), ita backfire na moto huo utamla mwenyewe na wenzake na chama chake cha CCM....!

Anapaswa ajifunze kwa mtangulizi wake Mwendazake John P. Magufuli. Yeye kila dai toka kwa watu wake alilokuwa halipendi, approach yake ilikuwa ni lugha kwa lugha kali ya matusi, ubabe, violence, yaani piga, umiza, poteza, ua nk nk. Kilichomkuta, wote tunajua...

Hii haifai, tusimshauri Rais kuwa na hasira maana hasira ni hasara...
 
Saccos ya CHADEMA ni sikio la kufa.....

Hiki chama cha VICOBA kinamlazimishaje Rais wa Kiafrika?!!!

Tanzania si nchi ya KILIBERALI....

#KaziIendelee
"Atake asitake mi5 tena" mlivyokuwa mnatamka haya maneno mlidhani hii ni nchi ya kiliberali? Kwa nini asilazimishwe wakati sisi ndio tumemuweka hapo alipo? Ndio maana tunasema katiba mpya haiepukiki kwa vile Rais amekuwa na mamlaka makubwa kama Mungu
 
Katiba mpya ndio mwisho wa CCM, hilo mnalijua na ndio sababu mnaogopa!
 
Naunga mkono hoja
 

..Asante.

..mimi ninachopendekeza ni kwamba tuwe balanced.

..raisi akikosea akosolewe, na wapinzani vilevile.
 
Fk u ,mnaiba na kuua shnz type ....Safari hii hamna k2
Uchaguzi wa kishenzi kwako....si kwangu....

Tindo utaendelea kulalamika mpaka uzee wako.....

CCM ni chama cha KIJAMAA....na wajamaa tunaposhika hatamu basi "tutalaumiwa nanyi kila uchao".....

#KaziIendelee
#KatibaYetuNiBofk u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…