Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Unatakiwa umjue mpinzani wako, mapungufu na nguvu zake VS weweNilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono ๐ผ
ndicho kitu pekee wanachoweza kufanya,Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono ๐ผ
Wewe kibuyu hizo taarifa wanazivujisha wanaccm wenyewe kwani Chadema wanashiriki kwenye vikao vyenu vya mchujo? Wewe ukishabugia visungura akili zinahamaNilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono ๐ผ
Kwani wakati Chadema wanafanya chaguzi zao CCM walifaidika na nini kufuatilia na kusema kuna rushwa!!!???Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono ๐ผ
ccm wameanza kupasuka vipande vipande, chadema tunapita katikati yao kuelekea ushindi, toka jana simu ni jyingi sana, mafuriko ya ushindi yaleee, chadema wana akili kubwa sana just waitNilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono ๐ผ