LGE2024 CHADEMA wanaofaidika nini kwa Kufuatilia Kura za maoni CCM kwenye maeneo mbalimbali na kuzusha kuna Wizi wa Kura?

LGE2024 CHADEMA wanaofaidika nini kwa Kufuatilia Kura za maoni CCM kwenye maeneo mbalimbali na kuzusha kuna Wizi wa Kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
Unatakiwa umjue mpinzani wako, mapungufu na nguvu zake VS wewe
 
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
ndicho kitu pekee wanachoweza kufanya,

hata hivyo,
kwakua hawaaminiki wala kukubalika ndani ya jamii, inatia moyo sana waTanzania wamewapuuza kwa kiwango cha juu sana 🐒
 
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
Wewe kibuyu hizo taarifa wanazivujisha wanaccm wenyewe kwani Chadema wanashiriki kwenye vikao vyenu vya mchujo? Wewe ukishabugia visungura akili zinahama
 
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
Kwani wakati Chadema wanafanya chaguzi zao CCM walifaidika na nini kufuatilia na kusema kuna rushwa!!!???
 
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa CHADEMA ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
ccm wameanza kupasuka vipande vipande, chadema tunapita katikati yao kuelekea ushindi, toka jana simu ni jyingi sana, mafuriko ya ushindi yaleee, chadema wana akili kubwa sana just wait
 
Back
Top Bottom