CHADEMA wanaongoza sana siasa za Tanzania, leo mkutano wa TCD umepoa

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
 
Ukwli usiotakiwa kusikika Erythrocyte brazaj
Umeongea jambo la msingi sana. It is as if nothing is taking place on earth... Waliobaki hawaaminiki, nani atafuatilia L;ipumba? Zito ni traitor mkubwa, nani ana interest naye?
 
Bila CDM siasa za nchi hii ni za ccm pekee.
 
Ukwli usiotakiwa kusikika Erythrocyte brazaj
Umeongea jambo la msingi sana. It is as if nothing is taking place on earth... Waliobaki hawaaminiki, nani atafuatilia L;ipumba? Zito ni traitor mkubwa, nani ana interest naye?
Najiuliza hata wanaccm nao hawana interest ya kufatilia viongozi wao? Mkutano umepoa sana,
 
siasa za vurugu na wehu wehu za chadema zimepitwa na wakati, hizo zilikuwa zamani enzi watanzania wakiwa hawana elimu.
 
Kweli tupu jamaa wapo vizuri, Elia Michael wa Kigoma toka ameondoka CDM akakosa mvuto mpaka akaamua kurudi leo
 
Tatizo la CCM sikuhizi hawatumii matako kufikiria
 
Vipaumbele vya hili Taifa ni Ndivyo Sivyo / Mbele Nyuma.....

Sio kwa Taifa, Serikali, Vyama vya Siasa wala Wananchi...

Anyway, bora liende (ingawa haliendi)
 
huo ni ujinga kufikiria hivyo ulikuwa unataka wawe wanapiga kelele au wafanyaje huni watu mitandaoni wanasoma ukiwemo wewe bado tu ulitaka uchangamkeje labda toa mfano ungekuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…