Uchaguzi 2020 CHADEMA wanasubiri kwanza Ilani ya Uchaguzi ya CCM itolewe!

Sawasawa chama cha wazururaji mitandaoni. Yaani wanajenga magorofa hewani na kuongea maneno ya kuvutia. Eti serikali ya Chadema itafanya hiki sjui kile. Ptuu! Ni laana za TBC hizo.
 
Hapo ameweka kitu gani chenye mashiko? JNHPP inakamilika mwakani mwezi wa sita na ataanza kupata umeme wa bwerere. Sgr ikivuka Dodoma inakamilika fasta.

Inatagemewa huo mradi utakamilika wakati huo, kumbuka hayo ni matarajio tu, tena ni iwapo hakutakuwa na changamoto zozote. Mradi wa SGR ilitakiwa mpaka kufikia November mwaka jana kipande cha Dar-Moro kiwe tayari. Mwaka mmoja mbele kipande hicho ni bado, huo ni mfano tu. Ni kweli umeme utakuwa mwingi iwapo hilo bwawa litakamilika japo sitarajii kuwa mwaka kesho. Lakini hata ukikamilika hakuna uhakika wa bei kushuka maana mradi wenyewe ni wa mkopo, hasa ukizingatia deni la taifa kuwa kubwa zaidi ya miradi yote iliyotekelezwa hadi sasa kwa pamoja hapa nchini.

Nakumbuka tuliambiwa bei ya umeme itashuka sana iwapo umeme wa gas yetu utaanza. Ni miaka mitano sasa toka umeme huo uanze kutumika, toa mrejesho wa bei kushuka. Wakati huohuo usisahau ule utapeli wa mafanikio ya Magufuli kuleta bomba la mafuta ya Uganda, na tukaambiwa ifikapo 2020 hilo bomba ujenzi utakuwa umekamilika, na kuanza kuvuna pesa.
 
Kumbuka umeme wa gas toka uanze kuzalishwa ni kama Mw 200 tu zimeongezwa kwenye grid ya taifa. Kwa hiyo usilinganishe na Mw 2100 kwa mkupuo. Mwakani mwezi juni utaanza kununua unit moja sh 100.

Kuchelewa kipande cha Dar to Moro sio sababu ya kusema vipande vingine vitachelewq. Milima ya Ngerengere imeleta chamgamoto kiduchu. Na hata ujenzi wa fylovers za Dar ili kukwepa magari. Tuliza munkari ufahidi maendeleo yanayoletwa na Ccm.
 
Kumbuka umeme wa gas toka uanze kuzalishwa ni kama Mw 200 tu zimeongezwa kwenye grid ya taifa. Kwa hiyo usilinganishe na Mw 2100 kwa mkupuo. Mwakani mwezi juni utaanza kununua unit moja sh 100...

Unajua unachoongea dogo, tatizo ni mkupuo wa megawati kuingizwa kwenye grid ya taifa, au ni gharama za uzalishaji wa huo umeme? Ili nijue naongea na mtu mwenye akili zake, nitajie kwanza mahitaji ya umeme ya sasa kwa nchi yetu, ni kiwango kilichopo. Isije ikawa najadili na ww jambo lolote nje ya uwezo wako.
 
Tumia common sense, acha kujibaraguza. Yaani hujui kuwa HEP ndio cheapest kabisa? Suala la mahitaji linaingia vipi? Hydro electric power generation ndio cheap. Ndio maana tunakuambia utanunua umeme unit sh100.
 
Tumia common sense, acha kujibaraguza. Yaani hujui kuwa HEP ndio cheapest kabisa? Suala la mahitaji linaingia vipi? Hydro electric power generation ndio cheap. Ndio maana tunakuambia utanunua umeme unit sh100.

Najua ww ni kilaza hilo wala halina mjadala. Kama umeme wa maji ni cheapest, ni kwanini umeme sio cheapest hadi sasa wakati asilimia kubwa ni wa vyanzo vya maji? Nilichokuuliza ni kulingana na ulichochangia. Halafu kipi kunakifanya useme huo umeme wa maji utakuwa nafuu wakati mradi ni wa hela za mkopo, na hujui terms za malipo?
 
Nashangaa kuniita mimi kilaza wakati wewe ndio kilaza. Umeme ni wa maji kwa sasa lakini je kuna ziada kama itayokuwepo kipindi JNHPP ikianza kuzalisha? Kitachofanya umeme uwe rahisi ni Mw nyingi zitazozalishwa kiasi cha kuwa na ziada kubwa ambayo nyingine itauzwa nje. Kama nyingine itauzwa nje kwa nini bei isipungue?
Na nani amekuambia huu mradi ni mkopo? Au unakariri wapuuzi wenzako?
 
Ilani ya CHADEMA ni Uhuru, Haki Na Maendeleo ya Watu.

Details zake itafute usome acha porojo.
Hi wameichota Kama ilivyo kwa aliyosema Bernard Membe yakawekwa humu jamii forums Halafu waneyachukua bila hata acknowledgement kwake hiyo Ni Pragmatism Ni kosa kubwa Sana kitaaluma ku copy kitu Cha mtu bila acknowledgement

Chadema ilani yao Ni copy and paste jamii forums inabidi at the beginning waandike copied as it is from Jamii Forums
 
Msukule wa lumumba km kawaida yako
 

Narudia tena, ww ni kilaza full, kabla ya huu umeme wa mafuta mazito na kidogo wa gas, bado Tanzania ilikuwa ina umeme wa juu kuliko nchi kadhaa za East Africa ambao ilikuwa wa maji. Kwani kuuza bidhaa fulani kuzalishwa hapa nchini na kuuzwa nje, ndio inaamaanisha bidhaa hiyo hapa nchini itakuwa bei ya chini? Korosho inalimwa hapa nchini na kuuzwa nje, ni watanzania wangapi wanaweza kununua kilo moja ya korosho kila mwezi? Mbolea inazalishwa hapa nchini na kiwango fulani kuuzwa nje, je bei yake ikoje kwa mkulima? Majibu baki nayo maana yataweka ujinga wako hadharani.

Ukitaka kujua huo ubongo wako umejaa matope, ni pale unapoamini huo mradi ni pesa za ndani na sio mkopo. Toka awamu hii ya tano iingie madarakani, deni la taifa limepanda kwa 15t+, na ukitazama miradi yote ya serikali mpaka sasa haijavuka hizo 15t. Sasa hapo unahitaji degree kujua kwamba huo mradi ni wa mkopo?
 

Elimu bure ilikuwa ni sera ya cdm toka uchaguzi wa 2010, tena ccm walikuwa wanasema haiwezekani. Kuna popote wanakiri kuwa hilo waliliiga cdm? Huku jukwaani kuna fake ID's kibao, unajuaje hao wenye hayo mawazo huko cdm ni hawahawa wa huku jukwaani?
 
Tumia common sense, acha kujibaraguza. Yaani hujui kuwa HEP ndio cheapest kabisa? Suala la mahitaji linaingia vipi? Hydro electric power generation ndio cheap. Ndio maana tunakuambia utanunua umeme unit sh100.

..HEP ni cheapest source of energy "ceteris paribus."

..uki-factor gharama za kulipa MKOPO tuliochukua, na mambo mengine, unaweza kupata hesabu tofauti.

..ndiyo maana baadhi yetu tunasisitiza kuwe na uwazi ktk mikataba ambayo serikali yetu inaingia.

cc tindo
 
W We dogo una matatizo sana. Kwani serikali ikifanya mikopo ndio kusema kila mradi unajengwa kwa mkopo? Ipo inayojengwa kwa mikopo na ipo inayotumia cash direct kama JNHPP.
Unaleta mifano mfu ya korosho ambayo haihusiani na suala la umeme. Kwani bei ya korosho iliyobanguliwa hapa Tz ni sawa na bei ya Uk?
Kwanza usinitoe kwenye reli jadili mada iliyotolewa na mleta uzi. Mnarukaruka kama mnaharisha uhalo.
 
Mwaka huu wa uchaguzi Chadema wamekosa vitu vitatu;
Ilani ya chama.
mgombea urais makini.
na helcopter.
 
Deni la taifa ni himilivu. Ndio maana zaidi ya bil 600 kila mwezi zinatumika kulipa deni la taifa. Kama tungekuwa hatuwezi kulipa ingekuwa ni tatizo. Kila kitu kipo wazi mnataka uwazi gani? Imekopwa pesa kwa ajili ya Sgr toka Standard chartered bank tena kwa uwazi kabisa.
 

Sasa kama deni lako la taifa kwa muda uliokaa madarakani linazidi miradi yote uliyotekeleza, unahitaji akili gani kujua hicho unachoita kutekeleza kwa fedha za ndani ni kiini macho? Huo mfano wa korosho ilikuwa ni kukutoa uwaze nje ya box. Huko UK ni ghali zaidi, ila haimaanishi kuwa hiyo bei kwa hapa nchini ni nafuu kisa haiifikii huko UK. Fahamu UK hawalioni korosho.
 
Jana nimemsikia Lisu akisema kuhusu mabadiliko ya mitaala ya elimu. pale alinikosha sana maana Tanzania tuna elimu ya kufaulu mitihani tu. katika hili KURA unayo kwa 100%.
Naomba uongeze kuwa jkt ya mujibu iwe veta ya miezi 6..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…