#COVID19 CHADEMA wanatetea ajabu hata wao hawachanji

#COVID19 CHADEMA wanatetea ajabu hata wao hawachanji

Lubebenamawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2014
Posts
1,973
Reaction score
2,239
Chadema kimekuwa kimejinasibu kuwa ni chama chenye wafuasi wengi. Na wakati mwingine kimekuwa kikijitangaza kuwa kina wafuasi kuliko chama kongwe nchini na barani Afrika ukitoa ANC cha Afrika Kusini na MPLA cha Angola mnaweza mkanirekebisha wajuvi wa historia.

Hivi karibuni viongozi wa Chadema wamekuwa wakijitanabaisha kutetea chanjo na wengine kutoa rai kuwa chanjo ingekuwa si swala la hiari. Katika kufuatilia kauli za viongozi wa chadema kila kiongozi akisimama hutetea chanjo.

Hali kadhalika idadi kubwa ya wafuasi wa chadema mitandaoni wameonekana kumpinga Askofu Gwajima, na kutoa kejeli dhidi yake. Wengine wameenda mbali na kuwakejeli kuwa MATAGA walichotwa akili zao na Hayati Dr JP Magufuli.

Tunajua Chadema hawawezi pinga chanjo kwa sababu ni agenda ya kimagharibi ambako ndiko chadema imekuwa ikipata msaada.

Je utetezi wa chanjo wa Chadema ni wa kinafiki. Chadema inawachama zaidi ya milioni 8 kwa mujibu wa takwimu zao. Basi kwa upepo wa kutetea chanjo nilikuwa naamini kuwa angalao robo ya wanachama wangekuwa wamekimbilia chanjo na kupelekea kuwa uhaba wa chanjo.

Ajabu ni kwamba katika chanjo 1m ni chanjo takribani 300,000 tu zimeshindika kumalizika.

Chadema acheni unafiki, onyesheni kwa vitendo mnacho kiamini. Mnaamini chanjo ni salama basi nendeni mka chanjo.
 
Kwenye chanjo kuna unafiki wa kiwango cha lami, viongozi waliobaki na msimamo wa kweli ni gwajiboy na polepole.

Ukitaka kuamini huu unafiki wa viongozi ni siku mama Samia akisema chanjo haifai, utaona msururu wa wanafiki watakvyofafanua madhara ya chanjo.
 
Ukichanjwa wewe inatosha bwashee, mbona unateseka?
Yaani wabunge mia nne na familia zao na madreva makatibu wao, wakuu wa mikoa na wilaya waliozindua chanjo pamoja na familia zao wangechanjwa zingeishia laki tatu?
 
Ndugu wanajamvi..kwa mujibu wa uchaguzi wa 2020, mashabiki wa Chadema ni million 5 na zaidi na kwa mujibu wa viongozi wa Chadema walisema chanjo ni muhimu na ni lazima kila mtu kulazimishwa kuchanjwa kitu ambacho ni kizuri.

Swali; ni kwanini hadi sasa waliochanjwa ni laki 3.50 wakati kama CHADEMA kwa umoja wao wangejitokeza kwenda kuchanjwa ingeonyesha kuwa hii chanjo ni bora sana.

Kwa sababu wananchi wa kawaida hawachanji kwa sbb hawaiamni CCM hivyo nilitarajia CHadema ikaanzishq makongamano ya kuhamasisha wanachama na wapenzi wao kuchanja hapo tungeuona umaja ulw wa kutaka maandamano na mambo ya katiba yanaleta mawndeleo zaidi.

So kwanini makongamano hayawatumii mashabiki kwenda kuchanja?
 
1. Swali la kwanza: chanzo imeletwa na Chadema?
2. Unadhani wanaochanjwa ni lazima wawe wa Chadema tu?
3. Fikiria mbali zaidi ya hapo.
 
"Fuateni maneno yangu, msifuate matendo yangu......"

Mpia njia alisikika.
 
We mjinga kwa sababu mwenyekiti wa Chama ni mume wa wanachama? Labda huko ccm
 
Kama chadema kuonhesha umoja wetu ule,,tunatakaiwa kwwnda kinyume cha Maccm..kwa kuwa yao yanasigana sisi tungeenda kwa makundi kuchanjwa harafu tukimaliza tunapiga na kongamano la katiba..Harafu baadaye tungeyazomea maccm yote kwa kushindwa kutekelez ahadi za kuchanja licha ya serikali yao kuhamasisha..ni suala la ujanja..inahwa nashangaa hadi sasa hatufanyi..inhawa mie nimeishachanja mapema
 
Hili swali linamhusu bibi maushungi aje ajibu hapa, yeye kama mwenyekiti wa ccm kahamasisha tuchome chanjo cha ajabu waliochanja hawafiki laki 2 wkt wanaccm tuko milioni 8
 
Wanaccm tuko million 8, waliochanja hawafiki laki 2, we bibi maushungi unafeli wapi kama mwenyekiti wetu?
 
CHADEMA TUHAMASHISHANE KWENDA KULA CHANJO TENA KATIBU MKUU WA CHADEMA NDO AONGOZE HAMASA..TWENDE YA UNIFORM ZETU.BONA TUNASHINDWA KUTUMIA HII FURSA..NA TUMEBAKI KUWA VILAZA TU
 
Ndugu wanajamvi..kwa mjibu wa uachaguzi wa 2020..mashabiki wa Chadema ni million5 na zaidi..na kwa mjibu wa viongozi wa Chadema walisema chanjo ni muhimu na ni lazima kila mtu kulazimishwa kuchanjwa kitu amabcho ni kizuri.Swali..nikwanini hadi sasa waliochanjwa ni laki 3.50 wakati kama chadema kwa umoja wao wangejitokeza kwenda kuchanywa ingeonyesha kiwa hii chanjo ni bora sana..Kwa sbab wananch wa kawaida hawachanji kwa sbb hawaiamni CCM hivyo nilitarajia CHadema ikaanzishq makongamano ya kuhamasisha wanachama na wapenzi wao kuchanja hapo tungeuona umaja ulw wa kutaka maandamano na mambo ya katiba yanaleta mawndeleo zaidi.So kwanini makongamano hayawatumii mashabiki kwenda kuchanja?
Anzeni nyie kumtii m/kiti wenu kwa kuchanja si mna wanachama wengi, imekuwaje chanjo mnalazimisha mtoto wa kambo akachanjwe?
 
Kama chadema kuonhesha umoja wetu ule,,tunatakaiwa kwwnda kinyume cha Maccm..kwa kuwa yao yanasigana sisi tungeenda kwa makundi kuchanjwa harafu tukimaliza tunapiga na kongamano la katiba..Harafu baadaye tungeyazomea maccm yote kwa kushindwa kutekelez ahadi za kuchanja licha ya serikali yao kuhamasisha..ni suala la ujanja..inahwa nashangaa hadi sasa hatufanyi..inhawa mie nimeishachanja mapema
Kuandika kwenyewe hujui sijui unakimbilia wapi ?!.

Ni wapi Cdm waliagiza chanjo ?!. Siyo yule alieunda kamati ya wataalamu kumshauri ?!. Huyo huyo akaja kusema ni hiyari !!.

Kwa jumla serikali imejifelisha yenyewe. Mwaka Jana nzima wamemaliza wakiipiga chanjo vita. Tena namba moja mwenyewe. Leo tena ni hao hao wanapita na kusema inafaa tena wale wale !! Lazima wakose wachanjwaji. Ila kama uko over 50 huna cha kupoteza nenda kachanje
 
Ndugu wanajamvi..kwa mjibu wa uachaguzi wa 2020..mashabiki wa Chadema ni million5 na zaidi..na kwa mjibu wa viongozi wa Chadema walisema chanjo ni muhimu na ni lazima kila mtu kulazimishwa kuchanjwa kitu amabcho ni kizuri.Swali..nikwanini hadi sasa waliochanjwa ni laki 3.50 wakati kama chadema kwa umoja wao wangejitokeza kwenda kuchanywa ingeonyesha kiwa hii chanjo ni bora sana..Kwa sbab wananch wa kawaida hawachanji kwa sbb hawaiamni CCM hivyo nilitarajia CHadema ikaanzishq makongamano ya kuhamasisha wanachama na wapenzi wao kuchanja hapo tungeuona umaja ulw wa kutaka maandamano na mambo ya katiba yanaleta mawndeleo zaidi.So kwanini makongamano hayawatumii mashabiki kwenda kuchanja?
Bro sisi tumewazidi CHADEMA. Tungekuwa mfano.
 
Kuandika kwenyewe hujui sijui unakimbilia wapi ?!.

Ni wapi Cdm waliagiza chanjo ?!. Siyo yule alieunda kamati ya wataalamu kumshauri ?!. Huyo huyo akaja kusema ni hiyari !!.

Kwa jumla serikali imejifelisha yenyewe. Mwaka Jana nzima wamemaliza wakiipiga chanjo vita. Tena namba moja mwenyewe. Leo tena ni hao hao wanapita na kusema inafaa tena wale wale !! Lazima wakose wachanjwaji. Ila kama uko over 50 huna cha kupoteza nenda kachanje
Mwenyekiti wenu gaidi alisema chanjo iwe lazima, hivyo tulitegemea makamanda mngeenda wote kuchanja
 
CCM imezoea kukwapua kura, tulitarajia wakwibe na hizo chanjo lakini waaapi![emoji23]
 
CCM mna matatizo ya akili, nyinyi kwenye maswala ya kwenu kama Chanjo ya Covid mnataka iwe muhimu na lazima. Ila ya wenzenu kama Katiba Mpya mnaona sio muhimu.

Kweli nyani haoni kundule.
Lakini mwenyekiti wenu alipendekeza chanjo iwe lazima, kwa hiyo mnamsaliti mwenyekiti [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom