Hii ni mada ya akili ndogo sana think [emoji189]
Sure Mkuu, ccm wanapenda lazimisha watu wabebe maiti isiojulikana imefia wapi? Yatakua maajabu ya karne, amani waivuruge wao KWa uchu wa vyeo na madaraka,wasingiziqe CHADEMA
Mfano Kama kweli ccm wanalipenda Taifa Hili, why waogope Katiba mpya ,mbona ni Jambo zuri KWa ustawi wa Taifa,viongozi ,na wananchi,
Ghana vipi,? Tz bila katiba mpya hayo maendeleo tunayoimbiwa tutayasikia kwenye magazeti, bali ufisadi ,dhuluma, vitatamalaki, huwezi zuia vitu Kama ufisadi, dhuluma, kuwa na watumishi waongowaongo tena kwenye nafasi nyeti IMEKUA kawaida, angalia china sheria zake kwenye Mambo Kama ya kifisadi,
Sasa leo wale wanaolitakia Taifa mema ,tupate katiba mpya bora , KWa Sasa ili itusogeze ndo wanatungiwa kesi za UGAIDI
Alafu utawasikia wapambe njaa, katiba ya nini , ila hawajui wanakufa sio mda, na Kuna wajukuu wao wataendelea ishi Taifa Hili Hili,
Sikia nyie mjifanyao majeuri maisha ya Sasa yamegeuka mno ukiwa na miaka kuanzia 35 kuipata miaka MINGINE Kama uliyonayo ni bahati tu ukiwa duniani, hii ndivyo ilivyo , Sasa je Kama una 50 vipi mategemeo YAKO ya kutoboa miaka MINGINE 50 yapoje, maana mnajisahau Sana mpaka mnapitiliza, Sasa nimewapa mahesabu kabisa na mtafakari