Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kwanza wapi kuna ajira au kujiajiri HGL na HGK? Hakuna chama cha HGL na HGKWale vilaza wa HKL na HGL ndio unaita wenye akili mkuu?π
Ushawahi sikia Vyama vya Ma enginia
Madaktari
Manesi
Ma physicians
Ma Neurologist
Na Astronaut
Nk..
Ni kwamba TLS imeamua kuwa Chama cha harakati lakini kuhusu Akili, wapo wengi tu wenye akili nyingi kuwazidi.
Hao hao una wa judge kwa combination, mwishowe wanakuwa law man / woman, ndio wameonyesha msimamo update
Professionals ambao hawaja jipendekeza kwa mamlaka . Wame stick to their ethics
No offence but Hivyo vyama ambavyo vinamnunulia rais helicopter, vina mlipia mgombea fomu ya kugombea urais? Seriously