CHADEMA wasipojiangalia watakuwa kama TAWI la Tanganyika Law Society, nawaona Marais wastaafu Wawili wa TLS Uongozini na Mawakili kibao!

Nimeanza kulewa tokea asubuhi kusherehekea ushindi wa LISSU na HECHE na wote waliochaguliwa.

Nasubiri kwa hamu Dr.Slaa arejee rasmi CHADEMA tuanze mapambano✌️✌️
Mkimrudisha Dr Slaa basi namuombea Halima Mdee na wenzie warudishwe pia ila kwa masharti wakiomba ili kujenga chama. Siasa is dynamic
 
ERB huwezi fananisha na TLS kwa muundo wa vyama na utendaji kazi wao Heshimu TLS
TLS wamewahi fanya kitu gani cha maana mkuu?

Zaid ya blabla , the MPs and Politicians wannabe!

Sasa mtu kama Mwabukusi ana u smart gani seriously?
 
Kuwa na akili inategemea definition yako, wengine kuiba ndio akili, kuteka na kuua akili, uchawa akili.
Hapana, akili ni outcomes ya kile unachofanya ukiwa huru...

Sasa TLS wamewahi zalisha kitu gani nchi hii... blabla republic
 
Hapana, akili ni outcomes ya kile unachofanya ukiwa huru...

Sasa TLS wamewahi zalisha kitu gani nchi hii... blabla republic
Una matatizo upstairs kwa hiyo akili ni kuzalisha vitu tangible tu?

Kwanza umeshindwa kutofautisha kati profession na akili pia watoa huduma hawana akili? Utakuwa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…