Pre GE2025 CHADEMA watafute mgombea mwingine wa urais, Tundu Lissu, Mbowe, Msigwa, Sugu na John Mnyika warudi bungeni! Nchi itakuwa salama zaidi

Pre GE2025 CHADEMA watafute mgombea mwingine wa urais, Tundu Lissu, Mbowe, Msigwa, Sugu na John Mnyika warudi bungeni! Nchi itakuwa salama zaidi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Harakati za uchaguzi mkuu zinakaribia lakini naona watu imara tunaotaka wakatusaidie kwenye mhimili wa bunge tunaweza kuwapoteza kwa kutamani kugombea urais na kukosa fursa ya kutusaidia kutunga na kusimamia raslimali zetu huko bungeni.

Tundu Lissu aachane na ndoto za kugombea urais aende bungeni kule atakuwa na jukwaa kubwa zaidi la kutetea nchi kwa maslahi ya taifa! Wakienda hao bungeni mambo yatakuwa sawa, watafute mgombea yeyote wa urais lakini sio wao.
 
Harakati za uchaguzi mkuu zinakaribia lakini naona watu imara tunaotaka wakatusaidie kwenye mhimili wa bunge tunaweza kuwapoteza kwa kutamani kugombea urais na kukosa fursa ya kutusaidia kutunga na kusimamia raslimali zetu huko bungeni.

Tundu Lissu aachane na ndoto za kugombea urais aende bungeni kule atakuwa na jukwaa kubwa zaidi la kutetea nchi kwa maslahi ya taifa! Wakienda hao bungeni mambo yatakuwa sawa, watafute mgombea yeyote wa urais lakini sio wao.

Tatizo ni kuwa upeo wetu wa kuona ni mdogo. Nani atatwambia nini sisi?

Strategically makamanda wengi ikibidi wakiwamo kina Lissu tungejiunga CCM na Msigwa.

Laila alijiunga KANU kabla ya kuiangusha kifo cha mende.

Tatizo la kukosa mwanamikakati wa maana tutaendelea kulia kilio Cha kuibiwa kura hadi kurudi kwa Yesu kristo mara ya 2.
 
Back
Top Bottom