johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
HayaKwani bendera ndiyo zinapiga kura?
Hali ngumu ya maisha mitaani ni bendera tosha tena za chuma wala haihitajiki bendera za pamba.
Mbona za CUF zipo?Bendera zikiwekwa mnazishusha, zisipokuwepo mnazikimbuka, vichwa vyenu huko lumu.ba ni vya kupeleka kwa mkemia mkuu avichunguze huwa mnatumia mihadarati gani.
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unasimamiwa na Tamisemi kea akina BashungwaNo Katiba mpya, no UCHAGUZI wowote,
No Tume huru ya Uchaguzi, No UCHAGUZI wowote.
Ameeeen.
Hata huo hautakuwepo.Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unasimamiwa na Tamisemi kea akina Bashungwa
Uchaguzi utafanyika labda nyie ndio hamtashirikiHata huo hautakuwepo.
Unadhani majeraha ya 2020 yamepona?Uchaguzi utafanyika labda nyie ndio hamtashiriki
Hata 2025 mtashiriki tena kwa tume hiihii..No Katiba mpya, no UCHAGUZI wowote,
No Tume huru ya Uchaguzi, No UCHAGUZI wowote.
Ameeeen.
Ungekuwa na macho ya Roho kujua ya MBELENI kuhusu Nchi yetu, ungevaa magunia uomboleze.Hata 2025 mtashiriki tena kwa tume hiihii..
Na hivi mmerambishwa asali
Usiwe na haraka acha muda ufike,ila tunakumbuka katiba mpya na tume huru wanaiihitaji kuliko huo uchaguzi wenyewe π€Nauliza tu kwa sababu huku mitaani hakuna ofisi wala bendera za Chadema
Ni vema watutaarifu mapema maana kupanga ni Kuchagua
Mungu ni mwema wakati wote
Hatari na nusukamshangilie babako odinga uliyesema atatangazwa mshindi hata akishindwa, chadema sio size yako labda kama unatafuta mume chadema useme.
Huyo ni mama wa nyumbaniUngekuwa na macho ya Roho kujua ya MBELENI kuhusu Nchi yetu, ungevaa magunia uomboleze.
Hahaa, nyie jamaa ugomvi wenu hauishi Kama vile mliachiana ziwaπππHuyo ni mama wa nyumbani
Hatuna ugomvi mkuuHahaa, nyie jamaa ugomvi wenu hauishi Kama vile mliachiana ziwaπππ