CHADEMA watoa tamko baada ya viongozi wake kukamatwa wakiandamana: "Polisi wametumia nguvu kupita kiasi"

CHADEMA watoa tamko baada ya viongozi wake kukamatwa wakiandamana: "Polisi wametumia nguvu kupita kiasi"

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana.

Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa mbaroni na Jeshi La Polisi katika nyakati tofauti tofauti jijini Dar Es Salaam.

Kwenye tamko lao lililochapishwa kupitia mtandao wa X, CHADEMA walidokeza kuwa polisi walitumia nguvu nyingi sana kudhibiti maandamano hayo yalikuwa na lengo la kupaza sauti kuhusu uchunguzi wa baadhi ya watu waliotekwa na kuuwawa.

READ ALSO: Maandamano Ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA

Aidha CHADEMA, imelitaka Jeshi la Polisi kuheshimu haki zote za waliokamatwa na kuwatendea kama watu ambao sio wahalifu kwa wakati wote wa kushikiliwa kwao.

photo_2024-09-23_15-34-53.jpg


photo_2024-09-23_15-34-59.jpg


 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana.

Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa mbaroni na Jeshi La Polisi katika nyakati tofauti tofauti jijini Dar Es Salaam.

Kwenye tamko lao lililochapishwa kupitia mtandao wa X, CHADEMA walidokeza kuwa polisi walitumia nguvu nyingi sana kudhibiti maandamano hayo yalikuwa na lengo la kupaza sauti kuhusu uchunguzi wa baadhi ya watu waliotekwa na kuuwawa.

READ ALSO: Maandamano Ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA

Aidha CHADEMA, imelitaka Jeshi la Polisi kuheshimu haki zote za waliokamatwa na kuwatendea kama watu ambao sio wahalifu kwa wakati wote wa kushikiliwa kwao.

Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chama🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chama🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Hio ndio hoja yako yenye mashiko kuhusu suala hilo?
 
Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chama🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Washwaaa tuuu
Kubwa jinga lao Huna hata hojaaaa

Wivuu na mawazo ya kimasikini zimekukaaa,jinga lao uchaa tuu na ukungunu umekuaaa

Enzi hizi ukabila umekukaaaa ovyoo
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana.

Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa mbaroni na Jeshi La Polisi katika nyakati tofauti tofauti jijini Dar Es Salaam.

Kwenye tamko lao lililochapishwa kupitia mtandao wa X, CHADEMA walidokeza kuwa polisi walitumia nguvu nyingi sana kudhibiti maandamano hayo yalikuwa na lengo la kupaza sauti kuhusu uchunguzi wa baadhi ya watu waliotekwa na kuuwawa.

READ ALSO: Maandamano Ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA

Aidha CHADEMA, imelitaka Jeshi la Polisi kuheshimu haki zote za waliokamatwa na kuwatendea kama watu ambao sio wahalifu kwa wakati wote wa kushikiliwa kwao.

Umoja, Amani na Utulivu wa waTanzani utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile bila mbambamba ya mtu yeyote au kelele za nchi yoyote ile duniani.

wavuruga amani wapende au wasipende, hilo halina mjadala 🐒
Dunia ielewe hivyo 🐒
 
Umoja, Amani na Utulivu wa waTanzani utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile bila mbambamba ya mtu yeyote au kelele za nchi yoyote ile duniani.

wavuruga amani wapende au wasipende, hilo halina mjadala 🐒
Dunia ielewe hivyo 🐒
Akili hizi za wazalendo Wana CCM wanaosubiri teuzi waungane kushughulika huko kwenye maporipori(ktk SAUTI ya DC Ng'humbi)
 
Labda kwa ujinga kiwango cha uvccm tunasikia kauli kama hizi,mikakati yetu ipo 💯 kukabiliana na chura kiziwi kadri anavyokuja hata akitumia nguvu za kikaburu...
 
Washwaaa tuuu
Kubwa jinga lao Huna hata hojaaaa

Wivuu na mawazo ya kimasikini zimekukaaa,jinga lao uchaa tuu na ukungunu umekuaaa

Enzi hizi ukabila umekukaaaa ovyoo
Ni lazima tumkemee mzee Mbowe , demokrasia sio kukumbatia kabila lako , mnaotaka kujifanya hamuoni mna matatizo ya akili hakika.Hivi unadhani kwanini vijana hawajajitokeza?
 
Inasemekana mnyika kaona mandamano ni ujinga mtupu. Walio kuwa wanahamasisha ni kina Mbowe, Lisu na Lema
Lissu tumsamehe bure hana pa kuongelea , tusubitri hadi hapo mzee mbowe atakapokomaa kuwania Urais ndi Lissu ataamini kuwa anatumika tuu na huyu mzee.
 
Lissu tumsamehe bure hana pa kuongelea , tusubitri hadi hapo mzee mbowe atakapokomaa kuwania Urais ndi Lissu ataamini kuwa anatumika tuu na huyu mzee.
Ndio maana kabla hamjampa ile fomu moja mgombea pekee,isomeni kwanza KATIBA inasemaje makamu anapojifanya rais wa nchi ndipo mtashangaa kwelikweli na bibi yule.
 
Ila Chadema bhana 😂 ety walifata sheria kufanya hayo maandamano, yani maandamano yamekatazwa afu sa h mnakuja kusema mlifata sheria 😂
 
Back
Top Bottom