CHADEMA watoa tamko baada ya viongozi wake kukamatwa wakiandamana: "Polisi wametumia nguvu kupita kiasi"

CHADEMA watoa tamko baada ya viongozi wake kukamatwa wakiandamana: "Polisi wametumia nguvu kupita kiasi"

Ila Chadema bhana 😂 ety walifata sheria kufanya hayo maandamano, yani maandamano yamekatazwa afu sa h mnakuja kusema mlifata sheria 😂
Ndio inaruhusu ila waminyaji wanazui sheria usifanye kazi
 
Ina maana mkurugenzi wa itifaki na KM hawakushiriki maandamano walliwasaliti viongozi wakuuu?
 
Haqa qachaga ni wavunjigu qa amani.

Wanatafuta pesa za CDU kwa kuvunja amani ili waonewe huruma.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana.

Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa mbaroni na Jeshi La Polisi katika nyakati tofauti tofauti jijini Dar Es Salaam.

Kwenye tamko lao lililochapishwa kupitia mtandao wa X, CHADEMA walidokeza kuwa polisi walitumia nguvu nyingi sana kudhibiti maandamano hayo yalikuwa na lengo la kupaza sauti kuhusu uchunguzi wa baadhi ya watu waliotekwa na kuuwawa.

READ ALSO: Maandamano Ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA

Aidha CHADEMA, imelitaka Jeshi la Polisi kuheshimu haki zote za waliokamatwa na kuwatendea kama watu ambao sio wahalifu kwa wakati wote wa kushikiliwa kwao.

 

Attachments

  • VID-20240923-WA0037.mp4
    4.5 MB
Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chama🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Wewe mzee ni punguani.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana.

Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa mbaroni na Jeshi La Polisi katika nyakati tofauti tofauti jijini Dar Es Salaam.

Kwenye tamko lao lililochapishwa kupitia mtandao wa X, CHADEMA walidokeza kuwa polisi walitumia nguvu nyingi sana kudhibiti maandamano hayo yalikuwa na lengo la kupaza sauti kuhusu uchunguzi wa baadhi ya watu waliotekwa na kuuwawa.

READ ALSO: Maandamano Ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA

Aidha CHADEMA, imelitaka Jeshi la Polisi kuheshimu haki zote za waliokamatwa na kuwatendea kama watu ambao sio wahalifu kwa wakati wote wa kushikiliwa kwao.

Naona sasa wamekuwa wapole sasa! Chezea Dola wewe!!
 
Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chama🙆‍♂️🙆‍♂Akili kisoda
 
Ha
Ina maana mkurugenzi wa itifaki na KM hawakushiriki maandamano walliwasaliti viongozi wakuuu?
Hawelewani Mkuu, Mkurugenzi anamfunika KM wa chama ila si kwa kuwa Mnyika hawezi la hasha
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana.

Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa mbaroni na Jeshi La Polisi katika nyakati tofauti tofauti jijini Dar Es Salaam.

Kwenye tamko lao lililochapishwa kupitia mtandao wa X, CHADEMA walidokeza kuwa polisi walitumia nguvu nyingi sana kudhibiti maandamano hayo yalikuwa na lengo la kupaza sauti kuhusu uchunguzi wa baadhi ya watu waliotekwa na kuuwawa.

READ ALSO: Maandamano Ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA

Aidha CHADEMA, imelitaka Jeshi la Polisi kuheshimu haki zote za waliokamatwa na kuwatendea kama watu ambao sio wahalifu kwa wakati wote wa kushikiliwa kwao.

Walikuwa wanatafuta AIR TIME! Wameipata kwa ghartama kubwa sana!
 
Naona sasa wamekuwa wapole sasa! Chezea Dola wewe!!
Hakuna anaekera kama Lema , anakesha mitandaoni kutukana watu kuwa ni wapoumbavu , ila naamini iko siku akili zitamrejea tu
 
Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chama🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Utahila ni ugojwa mbaya sana yaani jitu fukara kuliko mafukara wote ndio linalo kebehe juhudi za wanao jaribu kuliokowa kutoka metekani mwa majambazi ccm.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana.

Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa mbaroni na Jeshi La Polisi katika nyakati tofauti tofauti jijini Dar Es Salaam.

Kwenye tamko lao lililochapishwa kupitia mtandao wa X, CHADEMA walidokeza kuwa polisi walitumia nguvu nyingi sana kudhibiti maandamano hayo yalikuwa na lengo la kupaza sauti kuhusu uchunguzi wa baadhi ya watu waliotekwa na kuuwawa.

READ ALSO: Maandamano Ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA

Aidha CHADEMA, imelitaka Jeshi la Polisi kuheshimu haki zote za waliokamatwa na kuwatendea kama watu ambao sio wahalifu kwa wakati wote wa kushikiliwa kwao.

 

Attachments

  • VID-20240923-WA0038.mp4
    11.7 MB
Washwaaa tuuu
Kubwa jinga lao Huna hata hojaaaa

Wivuu na mawazo ya kimasikini zimekukaaa,jinga lao uchaa tuu na ukungunu umekuaaa

Enzi hizi ukabila umekukaaaa ovyoo
Kwa ujinga mlionao ni bora mpigwe mge tu kwani hakuna mnalobarisha zaidi ya kutupigia kelele tu kila kukicha
 
Back
Top Bottom