Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Mpaka sasa haieleweki nani mgombea Ubunge halisi kupitia CHADEMA jimbo la Kilombero. Wakati kamati kuu ikimteua Modestus aliyeongoza kura za maoni kuwa mgombea uongozi wa kanda na wilaya umemkabidhi barua za kugombea Ubunge Bilionea Nabii Daniel Shillah aliyeshika nafasi ya pili.
Tazama hapa nabii Shillah akipewa fomu
Na hapa uteuzi wa chama
Tazama hapa nabii Shillah akipewa fomu
Na hapa uteuzi wa chama