Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Wewe ulimtaka yupi kati ya hao wawili ?Na hapa uteuzi wa chamaView attachment 1540456
Yule dogo Alitaka kufanya uhuni wa kijinga sana.Ndiyo maana ameenguliwa. Analeta utoto wa kijinga wakati hata kura za maoni hakushinda!
Hii imenikumbusha kauli ya Mzee Juma Duni Haji wakati anatoka Chadema kurudi CUF. Alisema kuwa Chadema ni kama ukoo wa kambale. Hajulikani mkubwa nani, mdogo nani. Wote vururuvururu!!!Na hapa uteuzi wa chamaView attachment 1540456
SIJAONA HUO MVURUGOMpaka sasa haieleweki nani mgombea ubunge halisi kupitia CHADEMA jimbo la Kilombero. Wakati kamati kuu ikimteua Modestus aliyeongoza kura za maoni kuwa mgombea uongozi wa kanda na wilaya umemkabidhi barua za kugombea ubunge Bilionea Nabii Daniel Shillah aliyeshika nafasi ya pili.
mbona huku CCM tumevurugana majimbo karibia yote?Mpaka sasa haieleweki nani mgombea ubunge halisi kupitia CHADEMA jimbo la Kilombero. Wakati kamati kuu ikimteua Modestus aliyeongoza kura za maoni kuwa mgombea uongozi wa kanda na wilaya umemkabidhi barua za kugombea ubunge Bilionea Nabii Daniel Shillah aliyeshika nafasi ya pili.