Chadema ya gonga mwamba udom,jitihada za kuitisha mgomo na maandamano yashindikana!

Chadema ya gonga mwamba udom,jitihada za kuitisha mgomo na maandamano yashindikana!

Utakuwa ni kibaraka wa ccm.Yote aliyosema ni uwongo mtupu kwani jana jumapili ndio Chadema walikutana na uliyosema hata moja halikuwepo. Acha kupotosha umma.


Atakuwa ametumwa huyo,si unajua UDOM ni kijani? Ujumbe unajionyesha.
 
Wakati mwingine uongo unatambulika kirahisi sana hivi msomi anaweza akashawishiwa kuandamana bila sababu, walipoandamana UDOM walishawishiwa?wale ni wasomi huwezi kuwadanganya wanajua ukweli na subiri utaona tuu maana enzi za kudanganyana zimeisha.
 
Mlengo wa kati huna lolote wewe ni kibaraka wa ccm na mzushi mkubwa tena ungefahamika wewe ni nani ulitakiwa ufikishwe mahakamani ukathibitisha upuuzi wako. Suala la kumkataa profesa MLACHA lilikuwa kwenye ajenda ya mgomo wa wahadhiri uliofanyika mwezi january mwaka huu uliodumu kwa siku tano na kusuluhishwa na pinda. Taavifa zinasema bado wahadhiri wa udom wameshikilia ajenda ya kutaka Prof. MLACHA aondoke ndio maana waligoma kumualika kwenye get together party ya wahadhiri iliyofanyika trehe 18 march 2011. Waliwaalika prof kikula na prof kinabo ambao nao waligoma kwenda kwa kuwa mlacha hakualikwa. Kutokana na kiburi alichonacho prof mlacha anajiita kuku anayeatamia na kujinasibu kwamba tangu lini kuku anayeatamia akachinjwa?
 
Mlengo wa kati huna lolote wewe ni kibaraka wa ccm na mzushi mkubwa tena ungefahamika wewe ni nani ulitakiwa ufikishwe mahakamani ukathibitisha upuuzi wako. Suala la kumkataa profesa MLACHA lilikuwa kwenye ajenda ya mgomo wa wahadhiri uliofanyika mwezi january mwaka huu uliodumu kwa siku tano na kusuluhishwa na pinda. Taavifa zinasema bado wahadhiri wa udom wameshikilia ajenda ya kutaka Prof. MLACHA aondoke ndio maana waligoma kumualika kwenye get together party ya wahadhiri iliyofanyika trehe 18 march 2011. Waliwaalika prof kikula na prof kinabo ambao nao waligoma kwenda kwa kuwa mlacha hakualikwa. Kutokana na kiburi alichonacho prof mlacha anajiita kuku anayeatamia na kujinasibu kwamba tangu lini kuku anayeatamia akachinjwa?
 
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!
Kwa jinsi ulivyolibandika bandiko lako, hata Yesu akiniambia wewe sio Mtatiro nitambishia.
 
kweli kama wewe ni mwanaume nitakuvisha kanga kisha nikuweke mkono juu kwani utakuwa haujitambui.
Baraza la wanafunzi walikutana juma mosi nikiwa ndani mbona sikusikia hayo? Pili chadema walikutana juma pili iyo ijumaa imetoka wapi?
Tatu hayo matangazo yaliyobandikwa kila kona ulibandika wewe chumbani mwako kwani mbona ata kipisi cha karatasi hatujaona kinavyosema ivyo?


Mbona aliyeleta huu utumbo hapa hasemi chochote?
 
Ungesema CCM kidogo ningeshawishika....hii ipeleke kijijini kwenye vilabu vya pombe ambavyo ni tunda la CCM ndio wanaweza kukuelewa!!
 
chadema itajilaumu sana kwa njia walizozitumia kujenga umaarufu. kwa situation ilivyo sijui after 3 months itakuwaje. UDOM kuna ududzi mwingi chadema imeufanya, utausikia very soon. tatizo ukijifanya unajua sana inakuwa ni tatizo. mfano mwepesi ni kwamba hata katika familia yako ukisha soma halafu wewe ukajifanya much knw ktk kila jambo kwa familia yako lazima familia ikutenge.That is happening to cdm
 
Nasikitika kusema nchi hii bado tuko mbali sana na ukombozi kwa sasa hivi mtu unakwenda kuingia kwenye vikao vya watu ili kuhujumu na kuja kupost hapa unategemea kuwa unalipwa vizuri au kuahidiwa kitambulisho cha kutongozea na kukopea pombe mitaani na kujiita usalama wa taifa huku mamilioni ya watanzania wenzako wakiwemo ndugu zako wakiseka na maisha haya ya karaha halafu unajisifu najisikia kichefuchefu.
 
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!

Duuuuh!.. Cjui nikuite mzushi.... Au taahira! Kwamaana uliyoandika ni mambo ya uzushi mtupu... Baraza lilikuwepo sawa, Lakini hakuna habari yoyote ya Mgomo iliyoongelewa, mambo yaliyoongelewa ni ya kawaida sana na ya kielimu zaidi pamoja na hali ya maisha... Ni upuuzi kuandika post ambayo hata we mwenyewe moyoni mwako unajua wazi kwamba unadangaya... This is the home of great thinkers!...
 
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!

ha ha ha ha hizo ndio products tunazozitaka,HATUTAKI WANAFUNZI WATAKAOKUJA KUWA WAONGOZAJI MIGOMO MAKAZINI BAADAE KAMA KINA MWITA WA CHADEMA TARIME PRODUCTS ZA CHUO KIKUU D.S.M
 
Kwa taarifa nilizozipata ni kwamba uchaguzi unakaribia UDOM,so kuna kikundi kinataka kupandikiza propaganda ili kuiharibia kambi ya rais wa sasa wa college ya humanities and social science,Mh. Leonard Singo,huyu jamaa anakubalika sana kutokana na kuwa mstari wa mbele kuongoza mgomo wa kudai haki za wanafunzi. Inasemekana Prof Mlacha ametumwa na makada wa CCM anaanza kampen ya kuhakikisha uongoz utaokuja hautakuwa na nguvu kama wa sasa.Inaeleweka kuwa Leonad Singo na uongoz wake ni wafuasi wa CDM,na ndio maana kuna kampen ya kuwapaka matope CDM na Leonad Singo ili kumharibia mgombea atakaependekezwa na rais wa sasa Leonad Singo,.aliyeandika mada hii nambiwa vile vile kaandika upuuz kama huu kwenye mbao za matangazo chuoni hapo,na wanafunzi huwa hawalitii maanan,Wanafunzi wa UDOM Wanataka rais ajaye awe mwanamapinduzi kama wa sasa LEONAD SINGO....
 
Kwa taarifa nilizozipata ni kwamba uchaguzi unakaribia UDOM,so kuna kikundi kinataka kupandikiza propaganda ili kuiharibia kambi ya rais wa sasa wa college ya humanities and social science,Mh. Leonard Singo,huyu jamaa anakubalika sana kutokana na kuwa mstari wa mbele kuongoza mgomo wa kudai haki za wanafunzi. Inasemekana Prof Mlacha ametumwa na makada wa CCM anaanza kampen ya kuhakikisha uongoz utaokuja hautakuwa na nguvu kama wa sasa.Inaeleweka kuwa Leonad Singo na uongoz wake ni wafuasi wa CDM,na ndio maana kuna kampen ya kuwapaka matope CDM na Leonad Singo ili kumharibia mgombea atakaependekezwa na rais wa sasa Leonad Singo,.aliyeandika mada hii nambiwa vile vile kaandika upuuz kama huu kwenye mbao za matangazo chuoni hapo,na wanafunzi huwa hawalitii maanan,Wanafunzi wa UDOM Wanataka rais ajaye awe mwanamapinduzi kama wa sasa LEONAD SINGO....

Nilitegemea kitu kama hiki. Unajua student politics ingawa ni ngumu ila hauwezi ku-apply kwenye jamii nje ya chuo. Aliyetengeneza hii tuhuma siyo mtu makini hata kidogo. Katika hayo madai matatu, lakwanza limeshapokelewa na serikali, hivyo njia ya kushinikiza serikali kuendesha mchakato wakatiba haraka wangetumia nguvu ya umma (eg Maandamano), kwani katiba inalinda maslahi ya umma wote na si wasomi wa UDOM pekee. Hayo mengine mawili hayana connection kabisa na CDM, sidhani mtu kama Lissu angeingiza mguu kwenye mambo kama hayo. Pia swala la Prof.Mlacha wanaotaka atolewe ni walimu zaidi, kutokana na uongozi wake wa mizengwe. Hilo la mabweni wahiiiii.
 
Ushauri wa Bure kwa wana JF,
Kuna watu wanatujazia thread za kipuuzi humu ndani na kutupotezea muda wetu. Lazima tuwe makini nao.
 
chadema itajilaumu sana kwa njia walizozitumia kujenga umaarufu. kwa situation ilivyo sijui after 3 months itakuwaje. UDOM kuna ududzi mwingi chadema imeufanya, utausikia very soon. tatizo ukijifanya unajua sana inakuwa ni tatizo. mfano mwepesi ni kwamba hata katika familia yako ukisha soma halafu wewe ukajifanya much knw ktk kila jambo kwa familia yako lazima familia ikutenge.That is happening to cdm

Hizo ni ndoto za mchana. ziache tu.
 
Inapendeza kuona kundi la akina Kashaga, Zubeda, wewe na wengineo mnavyojaribu kucheza karata zenu bila mafanikio. Ndugu yangu hapa ni pagumu kuna watu wenye akili zao hapa. Lakini kumbuka wewe sio mmoja wa watu wanaokwenda kutibiwa wala kusomesha watoto ulaya ila unakula makombo bila kujali wanao watarithi nini katika nchi hii !!!!

Mtu mzima ovyo!!!!!

Tiba
Hapo kwenye red + muhadhiri+kaumza
 
Back
Top Bottom