Utakuwa ni kibaraka wa ccm.Yote aliyosema ni uwongo mtupu kwani jana jumapili ndio Chadema walikutana na uliyosema hata moja halikuwepo. Acha kupotosha umma.
hata itahwa ni kundi 1 na kashaga.hivi kashaga yuko wapi siku hizi simuoni,yule jamaa kwa pumba kiboko
Kwa jinsi ulivyolibandika bandiko lako, hata Yesu akiniambia wewe sio Mtatiro nitambishia.Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!
kweli kama wewe ni mwanaume nitakuvisha kanga kisha nikuweke mkono juu kwani utakuwa haujitambui.
Baraza la wanafunzi walikutana juma mosi nikiwa ndani mbona sikusikia hayo? Pili chadema walikutana juma pili iyo ijumaa imetoka wapi?
Tatu hayo matangazo yaliyobandikwa kila kona ulibandika wewe chumbani mwako kwani mbona ata kipisi cha karatasi hatujaona kinavyosema ivyo?
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!
Kwa taarifa nilizozipata ni kwamba uchaguzi unakaribia UDOM,so kuna kikundi kinataka kupandikiza propaganda ili kuiharibia kambi ya rais wa sasa wa college ya humanities and social science,Mh. Leonard Singo,huyu jamaa anakubalika sana kutokana na kuwa mstari wa mbele kuongoza mgomo wa kudai haki za wanafunzi. Inasemekana Prof Mlacha ametumwa na makada wa CCM anaanza kampen ya kuhakikisha uongoz utaokuja hautakuwa na nguvu kama wa sasa.Inaeleweka kuwa Leonad Singo na uongoz wake ni wafuasi wa CDM,na ndio maana kuna kampen ya kuwapaka matope CDM na Leonad Singo ili kumharibia mgombea atakaependekezwa na rais wa sasa Leonad Singo,.aliyeandika mada hii nambiwa vile vile kaandika upuuz kama huu kwenye mbao za matangazo chuoni hapo,na wanafunzi huwa hawalitii maanan,Wanafunzi wa UDOM Wanataka rais ajaye awe mwanamapinduzi kama wa sasa LEONAD SINGO....
chadema itajilaumu sana kwa njia walizozitumia kujenga umaarufu. kwa situation ilivyo sijui after 3 months itakuwaje. UDOM kuna ududzi mwingi chadema imeufanya, utausikia very soon. tatizo ukijifanya unajua sana inakuwa ni tatizo. mfano mwepesi ni kwamba hata katika familia yako ukisha soma halafu wewe ukajifanya much knw ktk kila jambo kwa familia yako lazima familia ikutenge.That is happening to cdm
Hapo kwenye red + muhadhiri+kaumzaInapendeza kuona kundi la akina Kashaga, Zubeda, wewe na wengineo mnavyojaribu kucheza karata zenu bila mafanikio. Ndugu yangu hapa ni pagumu kuna watu wenye akili zao hapa. Lakini kumbuka wewe sio mmoja wa watu wanaokwenda kutibiwa wala kusomesha watoto ulaya ila unakula makombo bila kujali wanao watarithi nini katika nchi hii !!!!
Mtu mzima ovyo!!!!!
Tiba