CHADEMA ya Lissu imefifia kisiasa

CHADEMA ya Lissu imefifia kisiasa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Wakati wa Mbowe vijana wengi walivuma, hoja zao kuipinga CCM katika mitandao ya kijamii ikiwavutia wengi sana hata wanaCCM wenyewe.

Wakisimama juu ya majukwaa vijana wengi wakivutiwa.
Hivi sasa CHADEMA wanaosikilikana
1. Heche
2. Lissu
3. Lema
4. Amani

Kijana pekee anaesikilikana ni mwenyekiti tu. Hivi sasa vijana wengi ni chawa wa Lissu na sio chawa wa CHADEMA

Sio CHADEMA ile ya akina Boni yai, Salum Mwalim, Mrema, Kigwqngila, katibu wa Bavicha mstaafu. Pambalu, sheikh Kadogoo
Chadema ile wakisimama majukwaani Dodoma inatetema makao makuu ya CCM

Hivi sasa hoja zote za CHADEMA zinajibiwa na Wasira tu.

Vijana wengi wamefichwa na hawapewi nafasi majukwaani.
Demokrasia ndani ya chama imetoweka.
Chadema inaelekea kaburi la kisiasa. Time will tell
 
Wakati wa Mbowe vijana wengi walivuma, hoja zao kuipinga CCM katika mitandao ya kijamii ikiwavutia wengi sana hata wanaCCM wenyewe.

Wakisimama juu ya majukwaa vijana wengi wakivutiwa.
Hivi sasa CHADEMA wanaosikilikana
1. Heche
2. Lissu
3. Lema
4. Amani

Kijana pekee anaesikilikana ni mwenyekiti tu. Hivi sasa vijana wengi ni chawa wa Lissu na sio chawa wa CHADEMA

Sio CHADEMA ile ya akina Boni yai, Salum Mwalim, Mrema, Kigwqngila, katibu wa Bavicha mstaafu. Pambalu, sheikh Kadogoo
Chadema ile wakisimama majukwaani Dodoma inatetema makao makuu ya CCM

Hivi sasa hoja zote za CHADEMA zinajibiwa na Wasira tu.

Vijana wengi wamefichwa na hawapewi nafasi majukwaani.
Demokrasia ndani ya chama imetoweka.
Chadema inaelekea kaburi la kisiasa. Time will tell
Maumivu yako ww Lusungo Tlaatlaah yanaeleweka, weka post nyingine moja ya kulalia ili upate usingizi kidogo.
 
Wakati wa Mbowe vijana wengi walivuma, hoja zao kuipinga CCM katika mitandao ya kijamii ikiwavutia wengi sana hata wanaCCM wenyewe.

Wakisimama juu ya majukwaa vijana wengi wakivutiwa.
Hivi sasa CHADEMA wanaosikilikana
1. Heche
2. Lissu
3. Lema
4. Amani

Kijana pekee anaesikilikana ni mwenyekiti tu. Hivi sasa vijana wengi ni chawa wa Lissu na sio chawa wa CHADEMA

Sio CHADEMA ile ya akina Boni yai, Salum Mwalim, Mrema, Kigwqngila, katibu wa Bavicha mstaafu. Pambalu, sheikh Kadogoo
Chadema ile wakisimama majukwaani Dodoma inatetema makao makuu ya CCM

Hivi sasa hoja zote za CHADEMA zinajibiwa na Wasira tu.

Vijana wengi wamefichwa na hawapewi nafasi majukwaani.
Demokrasia ndani ya chama imetoweka.
Chadema inaelekea kaburi la kisiasa. Time will tell
CHADEMA INAONGOZWA NA MATAPELI WA KISIASA
 
Back
Top Bottom