Pre GE2025 CHADEMA ya Lissu imepoa mno

Pre GE2025 CHADEMA ya Lissu imepoa mno

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nini kimeifanya hii CHADEMA ya Lissu kuwa ya baridi hivi?

Hatusikii kama Kuna Chama cha upinzani

Binafsi sikutaka Mbowe awe Mwenyekiti wa Chama ila Sasa nimeanza kuamini kuwa Mbowe alikuwa master wa siasa za harakati

1. CCM wameamua kuwanyima Chadema agenda
Kwa Sasa utekaji umepungua na vurugu za kamata wapinzani hamna.
CHADEMA ya Lissu imekosa agenda ya kudandia

2. Tatizo la uchumi
Au labda baada ya kuondoka tycoon Mbowe alilsepa na briefcase 💼 yake ya fedha, na Kwa Sasa CHADEMA haina jeuri ya pesa, kuendeshea mikutano, safari n.k

3. Kuna mgomo baridi ndani ya Chama
Ile mivutano ya uchaguzi labda haijaisha, labda team mbowe hawakukunjua roho na kumpa full support Lissu
Naona Bon Yai, Sugu, Yerrico Nyerere na wengine hawana muda na chadema
Na Sasa CHADEMA amebaki Lisu, Heche na Lema

4.Lissu sio kiongozi mzuri kushika wadhifa wa juu
Lissu inatakiwa awe na mtu wa kumwongoza, Lissu hawezi kuwa final say akafanikiwa
Hiyo ni weakness ambayo wengi Huwa wanayo na lakini hawapendi kuitambua na kuikubali

5. Lissu amekuja na agenda ya ovyo
Au ni kama amekosa agenda
" No reform no election' Haiwezi kufanikiwa na hakupata ushauri mzuri

Uchaguzi mkuu Bado umebakiza miezi 7, ukija na agenda ya kugomea uchaguzi CCM wanafurahi na CHADEMA itakuwa imewanyima haki Wanachama wao

6 Lissu hawezi kufanya recruitment ya kupata vijana vyuoni
Mbowe aliwashawishi vijana wengi na wakufunxi tokea vyuoni akina Halima Mdee, professor Balegu, Katambi, Mnyika, Heche n.k

Ajiulize baada ya hao walitoka Chadema ya kesho mikononi mwa Lissu itakuwaje

Mbowe ni Mafwa alijipenyeza kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Mbowe huko kwenye hivo vyombo anaheshika na alikuwa na Kijiji chake,

Kumbuka Mzee Marehemu Kibao alikuwa mwanajeshi mwenye cheo cha juu lakini alikubali kujiunga CHADEMA na kuwa mjumbe wa mkutano mkuu

Pia wale makomando wawili, waliosota na Mbowe kwenye kesi ya ugaidi, Mbowe aliweza kushawishi hadi makomando kuwa upande wake

Hili Lissu hawezi kulifanya kati. Hajui aanzie wapi
Lissu sio kiongozi mzuri nadhani Mbowe ndo anaijua chadema na Chocho zote, wapi apite na afanikishe

Japo tulimwita Mbowe mlamba asali ila nadhani Kwa miezi aliyotoweka tushaanza ku miss siasa zake
 
Nini kimeifanya hii CHADEMA ya Lissu kuwa ya baridi hivi?

Hatusikii kama Kuna Chama cha upinzani

Binafsi sikutaka Mbowe awe Mwenyekiti wa Chama ila Sasa nimeanza kuamini kuwa Mbowe alikuwa master wa siasa za harakati

1. CCM wameamua kuwanyima Chadema agenda
Kwa Sasa utekaji umepungua na vurugu za kamata wapinzani hamna.
CHADEMA ya Lissu imekosa agenda ya kudandia

2. Tatizo la uchumi
Au labda baada ya kuondoka tycoon Mbowe alilsepa na briefcase 💼 yake ya fedha, na Kwa Sasa CHADEMA haina jeuri ya pesa, kuendeshea mikutano, safari n.k

3. Kuna mgomo baridi ndani ya Chama
Ile mivutano ya uchaguzi labda haijaisha, labda team mbowe hawakukunjua roho na kumpa full support Lissu
Naona Bon Yai, Sugu, Yerrico Nyerere na wengine hawana muda na chadema
Na Sasa CHADEMA amebaki Lisu, Heche na Lema

4.Lissu sio kiongozi mzuri kushika wadhifa wa juu
Lissu inatakiwa awe na mtu wa kumwongoza, Lissu hawezi kuwa final say akafanikiwa
Hiyo ni weakness ambayo wengi Huwa wanayo na lakini hawapendi kuitambua na kuikubali

5. Lissu amekuja na agenda ya ovyo
Au ni kama amekosa agenda
" No reform no election' Haiwezi kufanikiwa na hakupata ushauri mzuri

Uchaguzi mkuu Bado umebakiza miezi 7, ukija na agenda ya kugomea uchaguzi CCM wanafurahi na CHADEMA itakuwa imewanyima haki Wanachama wao

6 Lissu hawezi kufanya recruitment ya kupata vijana vyuoni
Mbowe aliwashawishi vijana wengi na wakufunxi tokea vyuoni akina Halima Mdee, professor Balegu, Katambi, Mnyika, Heche n.k

Ajiulize baada ya hao walitoka Chadema ya kesho mikononi mwa Lissu itakuwaje

Mbowe ni Mafwa alijipenyeza kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Mbowe huko kwenye hivo vyombo anaheshika na alikuwa na Kijiji chake,

Kumbuka Mzee Marehemu Kibao alikuwa mwanajeshi mwenye cheo cha juu lakini alikubali kujiunga CHADEMA na kuwa mjumbe wa mkutano mkuu

Pia wale makomando wawili, waliosota na Mbowe kwenye kesi ya ugaidi, Mbowe aliweza kushawishi hadi makomando kuwa upande wake

Hili Lissu hawezi kulifanya kati. Hajui aanzie wapi
Lissu sio kiongozi mzuri nadhani Mbowe ndo anaijua chadema na Chocho zote, wapi apite na afanikishe

Japo tulimwita Mbowe mlamba asali ila nadhani Kwa miezi aliyotoweka tushaanza ku miss siasa zake
save the post
 
Wajinga wenzako wanahaha na chama cha walim wasio AKIRA NETO!. LISSU ni level za juu ..... Huyo MBOWE alikuwa dalali wa chama hakuwa mpinzani halisi!.
 
Wajinga wenzako wanahaha na chama cha walim wasio AKIRA NETO!. LISSU ni level za juu ..... Huyo MBOWE alikuwa dalali wa chama hakuwa mpinzani halisi!.
Duuuh
 
Nini kimeifanya hii CHADEMA ya Lissu kuwa ya baridi hivi?

Hatusikii kama Kuna Chama cha upinzani

Binafsi sikutaka Mbowe awe Mwenyekiti wa Chama ila Sasa nimeanza kuamini kuwa Mbowe alikuwa master wa siasa za harakati

1. CCM wameamua kuwanyima Chadema agenda
Kwa Sasa utekaji umepungua na vurugu za kamata wapinzani hamna.
CHADEMA ya Lissu imekosa agenda ya kudandia

2. Tatizo la uchumi
Au labda baada ya kuondoka tycoon Mbowe alilsepa na briefcase 💼 yake ya fedha, na Kwa Sasa CHADEMA haina jeuri ya pesa, kuendeshea mikutano, safari n.k

3. Kuna mgomo baridi ndani ya Chama
Ile mivutano ya uchaguzi labda haijaisha, labda team mbowe hawakukunjua roho na kumpa full support Lissu
Naona Bon Yai, Sugu, Yerrico Nyerere na wengine hawana muda na chadema
Na Sasa CHADEMA amebaki Lisu, Heche na Lema

4.Lissu sio kiongozi mzuri kushika wadhifa wa juu
Lissu inatakiwa awe na mtu wa kumwongoza, Lissu hawezi kuwa final say akafanikiwa
Hiyo ni weakness ambayo wengi Huwa wanayo na lakini hawapendi kuitambua na kuikubali

5. Lissu amekuja na agenda ya ovyo
Au ni kama amekosa agenda
" No reform no election' Haiwezi kufanikiwa na hakupata ushauri mzuri

Uchaguzi mkuu Bado umebakiza miezi 7, ukija na agenda ya kugomea uchaguzi CCM wanafurahi na CHADEMA itakuwa imewanyima haki Wanachama wao

6 Lissu hawezi kufanya recruitment ya kupata vijana vyuoni
Mbowe aliwashawishi vijana wengi na wakufunxi tokea vyuoni akina Halima Mdee, professor Balegu, Katambi, Mnyika, Heche n.k

Ajiulize baada ya hao walitoka Chadema ya kesho mikononi mwa Lissu itakuwaje

Mbowe ni Mafwa alijipenyeza kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Mbowe huko kwenye hivo vyombo anaheshika na alikuwa na Kijiji chake,

Kumbuka Mzee Marehemu Kibao alikuwa mwanajeshi mwenye cheo cha juu lakini alikubali kujiunga CHADEMA na kuwa mjumbe wa mkutano mkuu

Pia wale makomando wawili, waliosota na Mbowe kwenye kesi ya ugaidi, Mbowe aliweza kushawishi hadi makomando kuwa upande wake

Hili Lissu hawezi kulifanya kati. Hajui aanzie wapi
Lissu sio kiongozi mzuri nadhani Mbowe ndo anaijua chadema na Chocho zote, wapi apite na afanikishe

Japo tulimwita Mbowe mlamba asali ila nadhani Kwa miezi aliyotoweka tushaanza ku miss siasa zake
Mkuu mtu akipiga kelele na hana hela anaonekana kama hamnazo tu. We Lissu kila mara anaomba achangiwe achangiwe nani atamheshimu?
 
Nini kimeifanya hii CHADEMA ya Lissu kuwa ya baridi hivi?

Hatusikii kama Kuna Chama cha upinzani

Binafsi sikutaka Mbowe awe Mwenyekiti wa Chama ila Sasa nimeanza kuamini kuwa Mbowe alikuwa master wa siasa za harakati

1. CCM wameamua kuwanyima Chadema agenda
Kwa Sasa utekaji umepungua na vurugu za kamata wapinzani hamna.
CHADEMA ya Lissu imekosa agenda ya kudandia

2. Tatizo la uchumi
Au labda baada ya kuondoka tycoon Mbowe alilsepa na briefcase 💼 yake ya fedha, na Kwa Sasa CHADEMA haina jeuri ya pesa, kuendeshea mikutano, safari n.k

3. Kuna mgomo baridi ndani ya Chama
Ile mivutano ya uchaguzi labda haijaisha, labda team mbowe hawakukunjua roho na kumpa full support Lissu
Naona Bon Yai, Sugu, Yerrico Nyerere na wengine hawana muda na chadema
Na Sasa CHADEMA amebaki Lisu, Heche na Lema

4.Lissu sio kiongozi mzuri kushika wadhifa wa juu
Lissu inatakiwa awe na mtu wa kumwongoza, Lissu hawezi kuwa final say akafanikiwa
Hiyo ni weakness ambayo wengi Huwa wanayo na lakini hawapendi kuitambua na kuikubali

5. Lissu amekuja na agenda ya ovyo
Au ni kama amekosa agenda
" No reform no election' Haiwezi kufanikiwa na hakupata ushauri mzuri

Uchaguzi mkuu Bado umebakiza miezi 7, ukija na agenda ya kugomea uchaguzi CCM wanafurahi na CHADEMA itakuwa imewanyima haki Wanachama wao

6 Lissu hawezi kufanya recruitment ya kupata vijana vyuoni
Mbowe aliwashawishi vijana wengi na wakufunxi tokea vyuoni akina Halima Mdee, professor Balegu, Katambi, Mnyika, Heche n.k

Ajiulize baada ya hao walitoka Chadema ya kesho mikononi mwa Lissu itakuwaje

Mbowe ni Mafwa alijipenyeza kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Mbowe huko kwenye hivo vyombo anaheshika na alikuwa na Kijiji chake,

Kumbuka Mzee Marehemu Kibao alikuwa mwanajeshi mwenye cheo cha juu lakini alikubali kujiunga CHADEMA na kuwa mjumbe wa mkutano mkuu

Pia wale makomando wawili, waliosota na Mbowe kwenye kesi ya ugaidi, Mbowe aliweza kushawishi hadi makomando kuwa upande wake

Hili Lissu hawezi kulifanya kati. Hajui aanzie wapi
Lissu sio kiongozi mzuri nadhani Mbowe ndo anaijua chadema na Chocho zote, wapi apite na afanikishe

Japo tulimwita Mbowe mlamba asali ila nadhani Kwa miezi aliyotoweka tushaanza ku miss siasa zake
WEWE I CCM, CHAWA, TENA CHAWA MUHUNI! UNAJIFANYA CHADEMA LAKINI WEWE NI CCM CHAWA MZOEFU
 
Lisu amezungukwa na team mbowe, kuanzia wenyeviti wote wa kanda, wajumbe wa kamati kuu, halafu hana hela ya kuendesha chama
 
Back
Top Bottom