Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa was in the next political levelKwa nini Lowassa (mtuhumiwa wa fisadi) alipata kura nyingi katika uchaguzi mkuu wa 2015 kuliko alizipoata Willibrod Slaa (msafi) mwaka 2010?
Ni mvuto wa kisiasa, pesa, sera, upadri wa Slaa au kitu gani kilicholeta matukio ya kuchanganya hivyo?
😂😂😂Lowassa was in the next political level
Una akili ndogo sanaKwa nini Lowassa (mtuhumiwa wa fisadi) alipata kura nyingi katika uchaguzi mkuu wa 2015 kuliko alizipoata Willibrod Slaa (msafi) mwaka 2010?
Ni mvuto wa kisiasa, pesa, sera, upadri wa Slaa au kitu gani kilicholeta matukio ya kuchanganya hivyo?
Kiukweli kabisa 2015 Lowassa alipata kura nyingi kuliko Magufuli .Kwa nini Lowassa (mtuhumiwa wa fisadi) alipata kura nyingi katika uchaguzi mkuu wa 2015 kuliko alizipoata Willibrod Slaa (msafi) mwaka 2010?
Ni mvuto wa kisiasa, pesa, sera, upadri wa Slaa au kitu gani kilicholeta matukio ya kuchanganya hivyo?
Bora huyo ana akili kidogo wewe huna akili kabisa.Una akili ndogo sana
Lowassa alikuta chadema imeisha tengenezwa na Slaa,na kama hisingelikuwa tamaa za Mbowe na Lissu wake kumzunguka Slaa hata kama CCM ingelishinda, chadema ingeliendelea kuwa na nguvu zake kama 2015 hata na kuzidi, Maana kipindi hicho CCM ilikuwa imechokwa vibaya mno hadi kuonekana umevaa nguo za kijani unazomewa, CCM wenyewe walikuwa wanavalia kwenye mikutano yao hikiisha wanavu kuficha aibu.nilivyoona Mbowe na Lissu wamemkubali Lowassa kuwa mgombea wao tokea hapo niliona Mbowe ni mfanyabiashara sio mwanasiasa makini, mpaka Sasahivi siwezi amini chadema ya Mbowe na Lissu ni wanasiasa makanjanja.Kwa nini Lowassa (mtuhumiwa wa fisadi) alipata kura nyingi katika uchaguzi mkuu wa 2015 kuliko alizipoata Willibrod Slaa (msafi) mwaka 2010?
Ni mvuto wa kisiasa, pesa, sera, upadri wa Slaa au kitu gani kilicholeta matukio ya kuchanganya hivyo?
Kwa nini Lowassa alipata 40% ya kura tena wengine wanaamini alishinda kabisa??Lowassa alikuta chadema imeisha tengenezwa na Slaa,na kama hisingelikuwa tamaa za Mbowe na Lissu wake kumzunguka Slaa hata kama CCM ingelishinda, chadema ingeliendelea kuwa na nguvu zake kama 2015 hata na kuzidi, Maana kipindi hicho CCM ilikuwa imechokwa vibaya mno hadi kuonekana umevaa nguo za kijani unazomewa, CCM wenyewe walikuwa wanavalia kwenye mikutano yao hikiisha wanavu kuficha aibu.nilivyoona Mbowe na Lissu wamemkubali Lowassa kuwa mgombea wao tokea hapo niliona Mbowe ni mfanyabiashara sio mwanasiasa makini, mpaka Sasahivi siwezi amini chadema ya Mbowe na Lissu ni wanasiasa makanjanja.
Lowassa alikuwa hawezi kushinda sababu alikuwa na tuhuma nyingi kuliko Magufuli, lakini hata hivyo kipindi hicho ungeliweka mgombea wa CCM na jiwe watu wangelipigia jiwe, CCM ilikuwa imechokwa vibaya mno,Slaa alikuwa ameisuka chadema vibaya mno.Kwa nini Lowassa alipata 40% ya kura tena wengine wanaamini alishinda kabisa??
Vibaya mno hasa Mbowe na LissuCHADEMA ni MATAPELI sana
Lowassa alipata kura nyingi toka kwa wanaccm wenzake.Kwa nini Lowassa alipata 40% ya kura tena wengine wanaamini alishinda kabisa??
Watu walikuwa wameichoka CCM ya 2015 ya JPM kuliko CCM ya 2010 ya JK?Lowassa alikuwa hawezi kushinda sababu alikuwa na tuhuma nyingi kuliko Magufuli, lakini hata hivyo kipindi hicho ungeliweka mgombea wa CCM na jiwe watu wangelipigia jiwe, CCM ilikuwa imechokwa vibaya mno,Slaa alikuwa ameisuka chadema vibaya mno.