Lowassa alikuta chadema imeisha tengenezwa na Slaa,na kama hisingelikuwa tamaa za Mbowe na Lissu wake kumzunguka Slaa hata kama CCM ingelishinda, chadema ingeliendelea kuwa na nguvu zake kama 2015 hata na kuzidi, Maana kipindi hicho CCM ilikuwa imechokwa vibaya mno hadi kuonekana umevaa nguo za kijani unazomewa, CCM wenyewe walikuwa wanavalia kwenye mikutano yao hikiisha wanavu kuficha aibu.nilivyoona Mbowe na Lissu wamemkubali Lowassa kuwa mgombea wao tokea hapo niliona Mbowe ni mfanyabiashara sio mwanasiasa makini, mpaka Sasahivi siwezi amini chadema ya Mbowe na Lissu ni wanasiasa makanjanja.