makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
You CCM gays/guys we are fed up by your longolongo propagandas!!!
Who is mama Jimotolo in Chadema, she is just a tiny dot in CHADEMA. She will never ever distabilize CHADEMA. Never!!!!
Hizi propaganda za kuandaliwa na mashushu na makada wa CCM haiziwezi kuibomoa ngome imara ya CHADEMA. Nasema CCM hamuwezi.
Hii ni mara ya 3 Kikwete kwenda Kwimba, ina maana huyu mama safari zote zile mbili alikuwa wapi?????
Ni mwendawazimu tu anayeweza kukubaliana na uongo huu wa kupika.
Hivi ni mtu gani anayeweza kuipigia CCM hata baada ya kuona picha hizi zilizoanikwa kwenye mtandao huuu???Pengine ni kwa aina ya watu kama Kipofu,kiziwi,zezeta,bubu,juha au chizi! Narudia tena MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUKUBALINA NA UPUUZI HUU WA CCM.
Who is mama Jimotolo in Chadema, she is just a tiny dot in CHADEMA. She will never ever distabilize CHADEMA. Never!!!!
Hizi propaganda za kuandaliwa na mashushu na makada wa CCM haiziwezi kuibomoa ngome imara ya CHADEMA. Nasema CCM hamuwezi.
Hii ni mara ya 3 Kikwete kwenda Kwimba, ina maana huyu mama safari zote zile mbili alikuwa wapi?????
Ni mwendawazimu tu anayeweza kukubaliana na uongo huu wa kupika.
Hivi ni mtu gani anayeweza kuipigia CCM hata baada ya kuona picha hizi zilizoanikwa kwenye mtandao huuu???Pengine ni kwa aina ya watu kama Kipofu,kiziwi,zezeta,bubu,juha au chizi! Narudia tena MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUKUBALINA NA UPUUZI HUU WA CCM.
