johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Harmonize ni Tandahimba wewe acha kukariri!Sio harmonize tena
Yule Katani atapangiwa majukumu mengine na chama tawala!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harmonize ni Tandahimba wewe acha kukariri!Sio harmonize tena
Ziangalie hizo Tshet hazikuwepo 2015, hilo nitoleo jipya zilizinduliwa kwenye mkutano mkuu,au wewe ulikuwa bado tumboni mwa mama?Mbona unaleta Picha za 2015?
Acha chuki weewee..Mbona unaleta Picha za 2015?
View attachment 1368011
View attachment 1368013
View attachment 1368014
View attachment 1368019
Baada ya Bashiru Ally kufika Ndanda amejionea hali ilivyo ngumu , ambapo alivuna wanachama watatu tu wa Chadema na kuamua kukimbia mwenyewe , huku akiondoka na mapendekezo ya kumpeleka Cecil Mwambe Jimbo la Masasi baada ya kuona ukubwa wa Chuki za wananchi kwa Mwambe , imejulikana kwamba Mwambe hawezi kushinda Ndanda hata kama vikosi vyote vya polisi vitahamishiwa huko ili kutisha wananchi.
Pichani ni viongozi wa Kanda ya Kusini wakizindua moja ya tawi la Chadema jimbo la Ndanda .
Angalizo : Huo wa Chadema haukuwa mkutano wa hadhara kwa vile siasa za majukwaani zimezuiwa nchini Tanzania , ulikuwa uzinduzi tu
Mkitoka hapo mseme hakuna uhuru wa kukutana! Pumbavu!View attachment 1368011
View attachment 1368013
View attachment 1368014
View attachment 1368019
Baada ya Bashiru Ally kufika Ndanda amejionea hali ilivyo ngumu , ambapo alivuna wanachama watatu tu wa Chadema na kuamua kukimbia mwenyewe , huku akiondoka na mapendekezo ya kumpeleka Cecil Mwambe Jimbo la Masasi baada ya kuona ukubwa wa Chuki za wananchi kwa Mwambe , imejulikana kwamba Mwambe hawezi kushinda Ndanda hata kama vikosi vyote vya polisi vitahamishiwa huko ili kutisha wananchi.
Pichani ni viongozi wa Kanda ya Kusini wakizindua moja ya tawi la Chadema jimbo la Ndanda .
Angalizo : Huo wa Chadema haukuwa mkutano wa hadhara kwa vile siasa za majukwaani zimezuiwa nchini Tanzania , ulikuwa uzinduzi tu
Mbona unaleta Picha za 2015?
Vizuri sana wa-mkoa hatutaki watu wasengerema.. Huyo mwambe akaozee hukohuko CCMView attachment 1368011
View attachment 1368013
View attachment 1368014
View attachment 1368019
Baada ya Bashiru Ally kufika Ndanda amejionea hali ilivyo ngumu , ambapo alivuna wanachama watatu tu wa Chadema na kuamua kukimbia mwenyewe , huku akiondoka na mapendekezo ya kumpeleka Cecil Mwambe Jimbo la Masasi baada ya kuona ukubwa wa Chuki za wananchi kwa Mwambe , imejulikana kwamba Mwambe hawezi kushinda Ndanda hata kama vikosi vyote vya polisi vitahamishiwa huko ili kutisha wananchi.
Pichani ni viongozi wa Kanda ya Kusini wakizindua moja ya tawi la Chadema jimbo la Ndanda .
Angalizo : Huo wa Chadema haukuwa mkutano wa hadhara kwa vile siasa za majukwaani zimezuiwa nchini Tanzania , ulikuwa uzinduzi tu
Mwaka huo hawakuwa na sare hizo zinazoonekanaMbona unaleta Picha za 2015?