Chadema yaanzisha Program ya Mafunzo kwa Wanachama wake

Chadema yaanzisha Program ya Mafunzo kwa Wanachama wake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

Instagram_post_by_Peter_Msigwa_•_Jun_19,_2021_at_10:43am_UTC%22_.jpg
 
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

View attachment 1824697
Sawa Sawa bravo CDM... Msiwasahau BIA YETU NA MAGONJWA MTAMBUKA waje wapate mafunzo... Mkeka ujao watakumbukwa
 
Bado Sana hiki chama,Hadi bwana yule aachie ngazi ndo kitazinduka
 
Hayo ni mambo sahihi kabisa kufanywa na chama, na sio kusubiri wakati wa uchaguzi na kuokota matakataka toka ccm. Matokeo ya kuokoteza matakataka toka ccm, ndio yalipelekea kupata yale matapeli ya kisiasa kama kina Lowassa, Sumaye, Msindai nk. Mafunzo haya yatolewe kwa nguvu kubwa, na tuko tayari kuchangia kidogo kidogo tulichonacho ili kufanikisha hilo jambo zuri.
 
Hayo ni mambo sahihi kabisa kufanywa na chama, na sio kusubiri wakati wa uchaguzi na kuokota matakataka toka ccm. Matokeo ya kuokoteza matakataka toka ccm, ndio yalipelekea kupata yale matapeli ya kisiasa kama kina Lowassa, Sumaye, Msindai nk. Mafunzo haya yatolewe kwa nguvu kubwa, na tuko tayari kuchangia kidogo kidogo tulichonacho ili kufanikisha hilo jambo zuri.
Asante sana
 
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

View attachment 1824697
Chama kinazidi kunoga
 
Hayo ni mambo sahihi kabisa kufanywa na chama, na sio kusubiri wakati wa uchaguzi na kuokota matakataka toka ccm. Matokeo ya kuokoteza matakataka toka ccm, ndio yalipelekea kupata yale matapeli ya kisiasa kama kina Lowassa, Sumaye, Msindai nk. Mafunzo haya yatolewe kwa nguvu kubwa, na tuko tayari kuchangia kidogo kidogo tulichonacho ili kufanikisha hilo jambo zuri.
Hizi harakati ni za kuungwa mkono na kila mpenda mabadiliko chanya
 
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

View attachment 1824697
Chama kinachotoa dhahabu ambazo ccm wanazivizia na kukwapua
 
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

View attachment 1824697
Chama changu ,najivui kuwa na watu Kama mh Msigwa , mungu ampe maisha marefu , Chama KWA Sasa tukijenge mpaka ccm wapasuke filigisi
 
Wewe kama wakala umeuza kadi ngapi? Leo Peter ndio Mwalimu wa uongozi? Kweli,maajabu hayataisha
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

View attachment 1824697
 
Wewe kama wakala umeuza kadi ngapi? Leo Peter ndio Mwalimu wa uongozi? Kweli,maajabu hayataisha
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

View attachment 1824697
 
Wewe kama wakala umeuza kadi ngapi? Leo Peter ndio Mwalimu wa uongozi? Kweli,maajabu hayataisha
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII

View attachment 1824697
 
Back
Top Bottom