Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Jikite kwenye mafunzo , au hutaki UDC ?Msigwa kabaki kujibizana na vitoto vidogo kule facebook
Sawa Sawa bravo CDM... Msiwasahau BIA YETU NA MAGONJWA MTAMBUKA waje wapate mafunzo... Mkeka ujao watakumbukwaTayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali
Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi
# HATUTANII
View attachment 1824697
Asante sanaHayo ni mambo sahihi kabisa kufanywa na chama, na sio kusubiri wakati wa uchaguzi na kuokota matakataka toka ccm. Matokeo ya kuokoteza matakataka toka ccm, ndio yalipelekea kupata yale matapeli ya kisiasa kama kina Lowassa, Sumaye, Msindai nk. Mafunzo haya yatolewe kwa nguvu kubwa, na tuko tayari kuchangia kidogo kidogo tulichonacho ili kufanikisha hilo jambo zuri.
Chama kinazidi kunogaTayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali
Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi
# HATUTANII
View attachment 1824697
Hizi harakati ni za kuungwa mkono na kila mpenda mabadiliko chanyaHayo ni mambo sahihi kabisa kufanywa na chama, na sio kusubiri wakati wa uchaguzi na kuokota matakataka toka ccm. Matokeo ya kuokoteza matakataka toka ccm, ndio yalipelekea kupata yale matapeli ya kisiasa kama kina Lowassa, Sumaye, Msindai nk. Mafunzo haya yatolewe kwa nguvu kubwa, na tuko tayari kuchangia kidogo kidogo tulichonacho ili kufanikisha hilo jambo zuri.
Mungu ibariki ChademaChama kinazidi kunoga
Chama kinachotoa dhahabu ambazo ccm wanazivizia na kukwapuaTayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali
Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi
# HATUTANII
View attachment 1824697
Kwa ujinga mlionao wageni watazidi kuwaacha mnasugua benchi,kwa sababu Hamna akili wanakuja wanawaacha hapo mnashona vilaka vya makalio tuMsigwa kabaki kujibizana na vitoto vidogo kule facebook
Chama changu ,najivui kuwa na watu Kama mh Msigwa , mungu ampe maisha marefu , Chama KWA Sasa tukijenge mpaka ccm wapasuke filigisiTayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali
Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi
# HATUTANII
View attachment 1824697
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali
Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi
# HATUTANII
View attachment 1824697
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali
Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi
# HATUTANII
View attachment 1824697
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali
Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi
# HATUTANII
View attachment 1824697