Aliyesema Chadema haina hela ni mwenyekiti wenu wa Taifa Tundu Lisu sio CCMMara Chadema haina hela,mara ina hela inachezea ,bado hamjasema,ndio kwanza kazi inaanza leo,No reform no election
Unatuhoji wewe kama nani?Aliyesema Chadema haina hela ni mwenyekiti wenu wa Taifa Tundu Lisu sio CCM
Sasa hizo pesa za kwenda kufanya kikao hotel ya mamilioni pesa mumetoa wapi?
Tunaomba jibu je Chadema ina hela au haina? Jibuni
Ni kweli lakini kwa mazingira ya Tanzania ukisema ufanye hivyo utakuwa unakosea maana sheria zetu hazipo huru na bado haki haijapata sauti. Vyema sana kuweka nguvu kwa adui sahihiUnajua anayeungana adui yako sio rafiki yako Bali adui?
Kabisa, no reforms no electionKesho utasikia : chadema ilishajifia" ccm ina sera na inakubalika kwa wananchi!
Chama kinachokubalika kinatumia dola kupambana na chama kilichojifia? Pumbavu
Lisu basi mwambieni asije media kuomba pesa kwa wanachama na wasio wanachama kuwa chadema hakina hela akome kabisaUnatuhoji wewe kama nani?
No reforms no electionShetani hajawahi kumshinda Mungu
Wanawalazimisha watu kuwaza kulishawishi Jeshi lichukue nchi."Nilimwambia dr slaa atulie abaki CHADEMA kwa sababu hata LOWASA angeshinda 2015 asingetangazwa "( Prof. Safar)
Tatitizo ni mfumo mbaya wa uchaguzi
Kweli kabisa ndio maana kila uchaguzi CCM inashindaπΌNyaraka kuhusu ombi lako tayari zishaandaliwa
Israel mtoa roho na yeye anawaangalia tu mnavyojimwambafai na hizi hujuma zenu za kishamba. Baadaye msije makaanza kutafutana kwa mara nyingine tena.
Nawashangaa sana wajinga wanaosema CHADEMA washiriki uchaguzi. Hata wanaopanga kwenda kupiga kura nawashangaa sana.Halafu kuna mtu anakaza magego tushiriki uchaguzi
Gentleman,Huu ni uonevu wa wazi kabisa unaofanywa na watu wanaojitapa na kuwadanganya Watanzania kuwa mwaka jana wamerekebisha Sheria za Uchaguzi na Demokrasia.
Huu ni uthibitisho kuwa Tanzania hakuna demokrasia na siasa zinafanywa kuwapendelea CCM tu.
Huu ni uthibitisho kuwa CCM wanafanya uonevu wa wazi hivyo mwaka huu vyovyote vile tuwaombe wenye akili na wanaoguswa na haya kwenye vyombo vya ulinzi wa Usalama watusaidie kweli kuwaambia CCM kuwa There Should be No Election this Year Without Reforms.
View attachment 3251842
Mimi tangu uchaguzi wa 2015 upite na matokeo kugeuzwa juu chini, chini juu! Niliapa sitokuja tena kupoteza muda wangu. Siku tukifanikiwa kuwa na Katiba ya wananchi pamoja na tume huru ya uchaguzi (achana na hii takataka iliyobadilishwa tu jina) ndipo nitarudi tena kushiriki.Halafu kuna mtu anakaza magego tushiriki uchaguzi
Kwa hali hii na kebehi hizo mnazozitoa itafika kipindi tutashuhudia Mapinduzi ya Kijeshi Tanzania. Endeleeni kujimilikisha hii nchi na Wananchi tu. Ipo siku.
Mkuu watu wenyewe sasa? Sasa hivi wameletewa kubet, mziki na mpira mchana kutwa watu wana jadili haya mambo. Watajadili changamoto zao lini??Wanawalazimisha watu kuwaza kulishawishi Jeshi lichukue nchi.
Endeleeni tu kuchezea kodi za wananchi walalahoi wa nchi hii. Ipo siku mtazitapika.Gentleman,
kwa mujibu wa katiba ya nchi,
uchaguzi mkuu huru, wa wazi na wa haki zaidi utafanyika October mwaka huu 2025 bila mbambamba, kelele au mdomo wa kibaka au tapeli yeyote wa kisiasa nchini π
Tumeshamaliza saizi tuko kazini ππ
View: https://x.com/SuluhuSamia/status/1895056473446666369?t=ZQS8fyKQqfSCzA8q_koRMQ&s=19