Aliyesema Chadema haina hela ni mwenyekiti wenu wa Taifa Tundu Lisu sio CCMMara Chadema haina hela,mara ina hela inachezea ,bado hamjasema,ndio kwanza kazi inaanza leo,No reform no election
Sasa hizo pesa za kwenda kufanya kikao hotel ya mamilioni pesa mumetoa wapi?
Tunaomba jibu je Chadema ina hela au haina? Jibuni
Tqking into consideration hicho kikao kufanyika hotel kubwa la mamilioni la kitalii