Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa kuongoza mafunzo haya amevunja kifungu gani cha Katiba?Huyo alhaj anajua nini ambacho wengine hawakijui kuhusiana na uongozi?
Kusimamia ukweli na kusema ukweli kama mtaalamHuyo alhaj anajua nini ambacho wengine hawakijui kuhusiana na uongozi?
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Chadema imefungua Mafunzo kwa lengo la kuwapiga Msasa viongozi wake
View attachment 3267918
Miongoni mwa Wakufunzi yumo CAG Mstaafu Alhaj Mussa Assad
View attachment 3267919View attachment 3267920View attachment 3267921View attachment 3267922
Amekuja kufundishaNgoja kwanza, kwa hiyo Assad ndo kahamia CHADEMA?
Jibu wanalo walomwalika....Huyo alhaj anajua nini ambacho wengine hawakijui kuhusiana na uongozi?
Sio wote , kuna few exceptionalHiki kizaz cha uongoz cha 1960s had 1980s hakina kipya sio cha upinzan wala chama tawala,akili zao znafanana .
Dull commentHuyo alhaj anajua nini ambacho wengine hawakijui kuhusiana na uongozi?
asante kwa TaarifaHuyo ndiye Professor wa Taifa
Anauzoefu mkubwaHuyo alhaj anajua nini ambacho wengine hawakijui kuhusiana na uongozi?
Ashukuru MUNGU ni mtu wa Ijumaa vinginevyo maza angeshapita naye kitambo snWasije mteka na kupoteza Mzee wa watu
Pigo jingine kwa masisiyemuKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Chadema imefungua Mafunzo kwa lengo la kuwapiga Msasa viongozi wake
View attachment 3267918
Miongoni mwa Wakufunzi yumo CAG Mstaafu Alhaj Mussa Assad
View attachment 3267919View attachment 3267920View attachment 3267921View attachment 3267922
Ngoja kwanza, kwa hiyo Assad ndo kahamia CHADEMA?
Ashukuru MUNGU ni mtu wa Ijumaa vinginevyo maza angeshapita naye kitambo sn