Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Politics 💔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
THE BIG SHOW FaizaFoxy Ritz Missile of the NationLeo tarehe 12 Machi 2025 Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu, Sekretarieti ya Kamati Kuu, Makatibu wa Kanda na Viongozi wengine.
View attachment 3268041View attachment 3268044View attachment 3268045
Amekuja kufundisha
Asante kwa taarifa mkuu na pongezi kwa Prof Mussa kwa kujitolea kutoa mafunzo ya uzalendo kwa makada waandamizi wa CHADEMA. No reform, no election.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba CHADEMA imefungua Mafunzo kwa lengo la kuwapiga Msasa viongozi wake
View attachment 3267918
Miongoni mwa Wakufunzi yumo CAG Mstaafu Alhaj Mussa Assad
View attachment 3267919View attachment 3267920View attachment 3267921View attachment 3267922
Alishawahi kutekwa na Jiwe, Kelele za Wananchi zilimwokoaWasije mteka na kupoteza Mzee wa watu
Anafungwa na sheria yoyote ya nchi kufanya hivyo? Wewe umesikia wapi?Ngoja kwanza, kwa hiyo Assad ndo kahamia CHADEMA?
Ally Kibao alikuwa anafanya kazi gani Chadema?Itakuwa Kachukua nafasi ya Ally kibao
Assad jembe la ukweli kabisa ,chadema chama Cha haki ,uzalendo,Assad gusia na tume huru ya uchaguzi hukoKuwa wa kwanza kufahamu kwamba CHADEMA imefungua Mafunzo kwa lengo la kuwapiga Msasa viongozi wake
View attachment 3267918
Miongoni mwa Wakufunzi yumo CAG Mstaafu Alhaj Mussa Assad
View attachment 3267919View attachment 3267920View attachment 3267921View attachment 3267922
Mfano kwenye Utawala na Usimamizi wa miradi ya chama .Huyo alhaj anajua nini ambacho wengine hawakijui kuhusiana na uongozi?
Hili ni jibu zuri. Hata hivyo itafaa tuachane na mtindowa wa siasa za kimakundi; jambo ambalo nahisi ndiyo lilikuwa lengo la jibu lako.Jibu wanalo walomwalika....
Wamejiona hawajui that's why wakataka msaada wake
SwadaktaMfano kwenye Utawala na Usimamizi wa miradi ya chama .
PROF Assad anaweza kufundisha namna mipanho na matumizi ya fedha,..elimu haina mwisho unachokijua wewe sio anachokijua Prof Assad