CHADEMA yaendesha Mafunzo kwa Viongozi wake, Profesa Mussa Assad awa Mkufunzi Mkuu

Huyu mzee kama ukikutana naye unaweza kujiona kama umesoma PHD wakati sio.Yani mzee na mpendaga sana unajenga hoja mnatengeneza hoja na sio mtu wa kubagua.

Tuje huku sasa CCCM yani mwijaku na doto magari ndio wanajua uwezo wa serikali mixa miso misondo lucas mwanshamba na chawa wote mitandaoni ni wasanii ndio waelewa wa serikali.
 
ndio kazi yake kutoa lecture na kufundisha elimu sehemu mbalimbali duniani na popote atakapoitwa kutoa darasa..badala ya kumbeza someni CV yake profesa ni mwalimu na ameandika vitabu lukuki na machapisho yake mengi tu yanatumika elimu ya juu..machawa hawawezi kujua haya zaidi wataanza kumghasi kisa kaonekana ofisi za chadema utayasikia machawa yakibweka ooh huko anatoa siri za nchi ooh anataka kuhujumu sirikali,ooh anatoa siri za viongozi jinsi wanavyoliibia taifa..!
 
Huyo alhaj anajua nini ambacho wengine hawakijui kuhusiana na uongozi?
Mfano kwenye Utawala na Usimamizi wa miradi ya chama .
PROF Assad anaweza kufundisha namna mipanho na matumizi ya fedha,..elimu haina mwisho unachokijua wewe sio anachokijua Prof Assad
 
Jibu wanalo walomwalika....
Wamejiona hawajui that's why wakataka msaada wake
Hili ni jibu zuri. Hata hivyo itafaa tuachane na mtindowa wa siasa za kimakundi; jambo ambalo nahisi ndiyo lilikuwa lengo la jibu lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…