Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mungu baba Ibariki CHADEMA na watu wake wote❤❤❤Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka pembe zote, Bila kujali kutekwa Viongozi wa Chama hicho wameendelea kupiga Spana bila huruma.
Ileje ni miongoni mwa maeneo yaliyopuuzwa kabisa kwa miaka mingi.
Rose Mayemba aliongoza Mashambulizi
View attachment 3089759View attachment 3089760View attachment 3089762
Kivutio kikubwa alikuwa Gwamaka Mbhughi aliyekulia na kulelewa kwenye vijiji hivyo, Huyu alikuwa Katibu wa Kanda ya Nyasa
View attachment 3089768
Kimbilia CCBRTKwa haraka haraka wako 84
AmenMungu baba Ibariki CHADEMA na watu wake wote❤❤❤
Si masikini ila imetelekezwaIleje ni moja ya wilaya maskini zaidi hapa Tanzania, wananchi wa huko wakihubiriwa vema na chadema ni rahisi kupata ushindi.
Kwanini ileje yenye wakazi mia moja isiwe temeke!Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka pembe zote, Bila kujali kutekwa Viongozi wa Chama hicho wameendelea kupiga Spana bila huruma.
Ileje ni miongoni mwa maeneo yaliyopuuzwa kabisa kwa miaka mingi.
Rose Mayemba aliongoza Mashambulizi
View attachment 3089759View attachment 3089760View attachment 3089762
Kivutio kikubwa alikuwa Gwamaka Mbhughi aliyekulia na kulelewa kwenye vijiji hivyo, Huyu alikuwa Katibu wa Kanda ya Nyasa
View attachment 3089768
😂🤣😁Kwanini ileje yenye wakazi mia moja isiwe temeke!
Mungu baba Ibariki CHADEMA na watu wake woteHii ndio Taarifa mpya inayozunguka pembe zote, Bila kujali kutekwa Viongozi wa Chama hicho wameendelea kupiga Spana bila huruma.
Ileje ni miongoni mwa maeneo yaliyopuuzwa kabisa kwa miaka mingi.
Rose Mayemba aliongoza Mashambulizi
View attachment 3089759View attachment 3089760View attachment 3089762
Kivutio kikubwa alikuwa Gwamaka Mbhughi aliyekulia na kulelewa kwenye vijiji hivyo, Huyu alikuwa Katibu wa Kanda ya Nyasa
View attachment 3089768
Ok sasa hesabu taratibuKwa haraka haraka wako 84
Hao ni wengi sana kuendana na eneo husika, ulitaka wasombwe na malori!?Kwa haraka haraka wako 84
Utumie Lori kusomba watu 10 si hasara?Hao ni wengi sana kuendana na eneo husika, ulitaka wasombwe na malori!?
Msigwa hawezi kumzubaisha yoyoteSafi Sana na hongera chadema, Viongozi waandamizi chadema tawanyikeni matawini, mkatangaze sera zenu, kwa muda huu mfupi uliobaki, badala ya kulumbana na Jemedari #Msigwa, mnazubaishwa kipumbavu kabisa, hata mkifungua kesi, kesi hiyo itawatoa kwenye mstari katika kutangaza sera zenu ukizingatia wana chadema ni by nature wapenda kesi
-CCM Tunawapenda sana chadema, kwa upendo wa kweli wa dhati.
Kuzaliwa sehemu teyari ni kivutio kwenu????Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka pembe zote, Bila kujali kutekwa Viongozi wa Chama hicho wameendelea kupiga Spana bila huruma.
Ileje ni miongoni mwa maeneo yaliyopuuzwa kabisa kwa miaka mingi.
Rose Mayemba aliongoza Mashambulizi
View attachment 3089759View attachment 3089760View attachment 3089762
Kivutio kikubwa alikuwa Gwamaka Mbhughi aliyekulia na kulelewa kwenye vijiji hivyo, Huyu alikuwa Katibu wa Kanda ya Nyasa
View attachment 3089768
Casephobia ndicho kitakachowazubaisha ninyi chadema wenyewe!,, Madeleka anangojea michango yenu kwa humu kubwa sana, anakiu kali sana!Msigwa hawezi kumzubaisha yoyote