Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Tusubirie mapuvu toka kwa Lema na Mzee Mbowe ambao ndio chanzo kikuu kwa hii SACCOS kujifia taratiibuKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana katika kikao cha dharura kesho, Ijumaa tarehe 29 Novemba 2024. Kikao hicho kitajadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 na kutoa msimamo rasmi wa Chama. Mwenyekiti wa Chama, Mhe. Freeman Mbowe, atakiongoza kikao hicho, na kauli rasmi itatolewa baada ya kikao kumalizika.
Mhuni ni huyo aliyekuzaa , maana like begets like and therefore ulizaliwa na wahuni nawe lazima uwe muhuni, asiye muhuni hawezi kuandika ujinga huuHiki chama bwana kama kikundi fulani hivi cha wahuni waliojichokea maisha kisha kuungana kurudi kwenye Maisha
asante kwa taarifaļ¼ tutafuatiliaćKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana katika kikao cha dharura kesho, Ijumaa tarehe 29 Novemba 2024. Kikao hicho kitajadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 na kutoa msimamo rasmi wa Chama. Mwenyekiti wa Chama, Mhe. Freeman Mbowe, atakiongoza kikao hicho, na kauli rasmi itatolewa baada ya kikao kumalizika.
Mkuu naona umevimba baada ya kusikia wahuni wameguswaMhuni ni huyo aliyekuzaa , maana like begets like and therefore ulizaliwa na wahuni nawe lazima uwe muhuni, asiye muhuni hawezi kuandika ujinga huu
Ingekua ni hivyo isingetumika nguvu kubwa kukizima , kingepotezewa tu kama chaumaš¤Hiki chama bwana kama kikundi fulani hivi cha wahuni waliojichokea maisha kisha kuungana kurudi kwenye Maisha
Hakuna jipyaKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana katika kikao cha dharura kesho, Ijumaa tarehe 29 Novemba 2024. Kikao hicho kitajadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 na kutoa msimamo rasmi wa Chama. Mwenyekiti wa Chama, Mhe. Freeman Mbowe, atakiongoza kikao hicho, na kauli rasmi itatolewa baada ya kikao kumalizika.
Telling the truth, TO YOU. You message/post has zero impact, it is just to let you know your being as assessed by othersMkuu naona umevimba baada ya kusikia wahuni wameguswa