LGE2024 CHADEMA yaitisha Kikao cha dharura cha Kamati Kuu kujadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 CHADEMA yaitisha Kikao cha dharura cha Kamati Kuu kujadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana katika kikao cha dharura kesho, Ijumaa tarehe 29 Novemba 2024. Kikao hicho kitajadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 na kutoa msimamo rasmi wa Chama. Mwenyekiti wa Chama, Mhe. Freeman Mbowe, atakiongoza kikao hicho, na kauli rasmi itatolewa baada ya kikao kumalizika.
Nasikia wamejitahidi nchi nzima wamepata wenyeviti wanne tuu nchi nzima kwakweli wamejitahidi sana
 
Hiki chama bwana kama kikundi fulani hivi cha wahuni waliojichokea maisha kisha kuungana kurudi kwenye Maisha
Wewe taahira. Ungekuwa na akili japo kidogo ungeishughulisha akili yako kidogo, nchi ifanyeje kuepukana na hawa mashetani wa CCM wanaopora maamyzi ya wananchi na wanaoua watu kwaajili ya vyeo
 
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana katika kikao cha dharura kesho, Ijumaa tarehe 29 Novemba 2024. Kikao hicho kitajadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 na kutoa msimamo rasmi wa Chama. Mwenyekiti wa Chama, Mhe. Freeman Mbowe, atakiongoza kikao hicho, na kauli rasmi itatolewa baada ya kikao kumalizika.
Mungu Ibariki CHADEMA
 
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hii hapa

Screenshot_2024-11-28-14-53-18-1.png
 
mavikao yasiyo na tija wala maana yayote. Ni busara hata kuyafanya kimya kimya tu 🐒
 
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana katika kikao cha dharura kesho, Ijumaa tarehe 29 Novemba 2024. Kikao hicho kitajadili matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024 na kutoa msimamo rasmi wa Chama. Mwenyekiti wa Chama, Mhe. Freeman Mbowe, atakiongoza kikao hicho, na kauli rasmi itatolewa baada ya kikao kumalizika.

Wapuuzi kabisa mm vikao kila cku
 
4R zifutwe rasmi.
CDM ianze kujipanga 2025 - maana mambo yatakuwa zaidi ya haya.
Wana CDM waambiwe ukweli kwamba hawana baba wala mama wa kuwatetea kazi inayokuja ni ngumu na hatari ila ni LAZIMA ifanyike.
 
Ukiweka pembeni mjadala ambao kikao hicho kitajadili juu ya "uchafuzi" walio shiriki bila ya kujitambua; nawashauri CHADEMA kujitazama upya kama chama.

Mahali pa kwanza kabisa ambapo ni lazima wapatazame kwa makini zaidi ni upande wa wanachama wao wanao watambua kuwa wana chama hai wa chama hicho.

Ni lazima wajue wana chama hawa ni wangapi na wapo wapi, na ni wana chama wa namna gani hawa.

Mimi ninge penda kuwashauri hili kwanza, kabla ya mengine yote yatakayo fuata baadae.
Sasa hivi kuna 'disconnection' isiyo eleweka kati ya wana chama hao na viongozi wa chama chao.
Hata nina mashaka kama kweli CHADEMA wanao wana chama wangai. Hii haiwezi kuwa ni siri. Kama ni milioni 5, sema, hao ni wana chama wa kutosha kabisa kukifanya chama kuwa na vuguvugu la kutosha kabisa.

Tunaanzia hapa kuwapa ushauri CHADEMA. Tukiridhika na hili tutaendelea mbele na maswala mengine yanayo hitaji kutazamwa kwa haraka tukielekea 2025, na mbele zaidi.
 
Back
Top Bottom