Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hii ni LBL au F.I.C ya aina mpya right?šHakuna haja ya Kuchoka hadi Shetani Atokomezwe, na hii ni nafasi kwa wewe ambaye hukubahatika kushiriki mchakato wa mwanzo, Usikose
Taarifa zaidi hii hapa
View attachment 3269170
Kwani naye anafanya Tone ToneSasa mbona yule mdada wa Huba kakamatwa ?
Dawasa wamekata maji!Hakuna haja ya Kuchoka hadi Shetani Atokomezwe, na hii ni nafasi kwa wewe ambaye hukubahatika kushiriki mchakato wa mwanzo, Usikose
Taarifa zaidi hii hapa
View attachment 3269170
Tunamtakia kila la heriWakati mnahangaika na matone Samia ni mafurikoš
Umedanganywa kibwege sana!Michango isiyofanyiwa auditing šš
Wajinga ndio wapigwaoHakuna haja ya Kuchoka hadi Shetani Atokomezwe, na hii ni nafasi kwa wewe ambaye hukubahatika kushiriki mchakato wa mwanzo, Usikose
Taarifa zaidi hii hapa
View attachment 3269170
Huna hela weweWajinga ndio wapigwao
We ndio mpigaji mwenyeweHuna hela wewe
Poleni sanaDawasa wamekata maji!
Kinachokuliza nini?We ndio mpigaji mwenyewe
Nimejaribu kuweka hela kwenye NIMO naona haikubali kwenda. Cdm angalieni mnahujumiwa na makampuni ya simu kwa maagizo ya ccm na dola.Hakuna haja ya Kuchoka hadi Shetani Atokomezwe, na hii ni nafasi kwa wewe ambaye hukubahatika kushiriki mchakato wa mwanzo, Usikose
Taarifa zaidi hii hapa
View attachment 3269170
WiziKinachokuliza nini?
Kwa hela za waarabu wa DP World na za wauza unga.Wakati mnahangaika na matone Samia ni mafurikoš
Ilishachuja hiyo njooni na uzushi mwingine.Saccos ya wachaga