Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unahangaika nalo kwanini?Mshangao uko wapi?
Na wewe unahangaika na nini?Kumbe unahangaika nalo kwanini?
Sasa wew ulitakaje??Hata hili nalo ni la kulitolea tamko?
Mbona ikulu ilipotembelewa na Rostam, kurugenzi kuu ikaitaarifu nchi? Wacha uwendawazimu.Hata hili nalo ni la kulitolea tamko?
Usichanganye mchanga na sukari. Tunaongelea tamko la chadema hapa.Mbona ikulu ilipotembelewa na Rostam, kurugenzi kuu ikaitaarifu nchi? Wacha uwendawazimu.
sawa huko nako ni kuongeza madini kichwaniChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetetea hatua ya Mbunge wake jimbo la Ndanda Cecil Mwambe kuingia na ilani Ya Chama cha Mapinduzi bungeni kwa kile ilichokisema ni jambo la kawaida.
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje CHADEMA, John Mrema amewataka watu wasishangae kwani Chama hicho kinawahamasisha wabunge wake kusoma ilani ya (CCM) ili kujua namna gani ambavyo Chama hicho tawala kinatekeleza ilani ahadi.
"Ni jambo la kawaida sana, sisi kama chama tunawahamasisha wabunge wetu kusoma, ndio maana huyo huyo Mwambe wiki iliyopita ulimuona akimpa sera Mbadala za Chama moja ya mawaziri Bungeni", amesema Mrema.
Aidha, amesema "kuingia na ilani ya Chama cha Mapinduzi si tatizo kwa sababu hata ukija ofisini kwetu utakutana na ilani ya CCM kwa hiyo kama angekuwa na nia ya kuhama chama, angehama kimya kimya kama wanavyofanya wengine".
Leo Novemba 14, 2018 akiongoza vikao vya bunge, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, amesema mheshimiwa Cecil Mwambe anasoma sana ilani ya Chama cha Mapinduzi, siku hizi baada ya kugundua ina mambo mazuri sana.View attachment 933813
Response ya wapumbavu hii......Usichanganye mchanga na sukari. Tunaongelea tamko la chadema hapa.
Wewe ni zwazwa.Response ya wapumbavu hii......
Hata hili nalo linawahusu Lumumba?Hata hili nalo ni la kulitolea tamko?
Hata hili haliwahusu ufipa?Hata hili nalo linawahusu Lumumba?
Ukiona hivyo ujue watu wamekuwa waoga.Hata hili nalo ni la kulitolea tamko?
Ha haaaaa..... Rostam mlisema ni rafiki wa lowassa, leo mtasema nini? Kwa kahama chama cha lowassa nini jamani.Mbona ikulu ilipotembelewa na Rostam, kurugenzi kuu ikaitaarifu nchi? Wacha uwendawazimu.
Hata hili nalo ni la kulitolea tamko?
=lazima.Laziama kutoa tamko kwani mlishaanza kuja kimalaya kupotosha, sasa habari ndiyo hiyo , huyo haji huko mumeshachukua makinikia yenu hangaikeni nayo kwani lazima yatakula kwenu.
=lazima.
Ok.Asante