CHADEMA yajibu hatua ya Mbunge Cecil Mwambe, kusoma Ilani ya CCM Bungeni

sawa huko nako ni kuongeza madini kichwani
 
Huyo Mrema anajua nini kipo moyoni kwa Mwambe?

Ni maelezo dhaifu sana. Kwa nn asiseme Mwambe mwenyewe?
 
Mbona ikulu ilipotembelewa na Rostam, kurugenzi kuu ikaitaarifu nchi? Wacha uwendawazimu.
Ha haaaaa..... Rostam mlisema ni rafiki wa lowassa, leo mtasema nini? Kwa kahama chama cha lowassa nini jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…