CHADEMA yakanusha madai ya kupanga njama kufanya matendo ya uhalifu

CHADEMA yakanusha madai ya kupanga njama kufanya matendo ya uhalifu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Polisi wametoa taarifa leo walizoita za uhakika kwamba wamepata taarifa Viongozi wa CHADEMA wamefanya kikao kwa njia ya zoom na kuhamasisha Wafuasi wetu kwenda Ofisi mbalimbali za Serikali na kuhamasisha Vijana kwenda Vituo vya Polisi na wakasema atakayekwenda kwenye Vituo vya Polisi atashughulikiwa kwa haraka sana”

“Kauli hii ya Polisi tumeichukulia kwa uzito mkubwa sana kwasababu August 09,2024 Polisi walitoa kauli kama hiyo wakati Vijana wakijiandaa kuadhimisha Siku ya Vijana kule Mbeya August 12,2024 na baada ya kauli hiyo Viongozi wetu walianza kukamatwa wakaumizwa vibaya na Vijana wetu wengine wakakamatwa ndio maana tumeona kauli hii tusiiache iendelee kubaki hata kwa dakika moja kwasababu kwanza ni kauli ya uongo lakini pili ni kauli ambayo ni hatari na inahatarisha usalama wa Viongozi na Wanachama wa CHADEMA”

“Tangu hukumu ya Mahakama Kuu tarehe 28 hakuna kikao chochote kilichofanyika kuanzia kwa zoom au cha kawaida, kwahiyo Polisi kutoa kauli kama hii ya kizushi na ambayo inasababisha taharuki kwa Umma, tunalitaka Jeshi la Polisi wathibitishe kauli yao kwasababu ni jaribio lingine la kunyanyapaa Viongozi wa CHADEMA kutufanya Wahalifu wakati CHADEMA sio Chama cha kihalifu, vilevile tunalitaka Jeshi la Polisi litoe ushahidi hadharani” —— Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam leo August 30,2024

Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

My Take
Imagine nchi inakuwa na chombo muhimu kama hiki halafu ndio kiwanda kikuu cha uongo
 
Polisi wametoa taarifa leo walizoita za uhakika kwamba wamepata taarifa Viongozi wa CHADEMA wamefanya kikao kwa njia ya zoom na kuhamasisha Wafuasi wetu kwenda Ofisi mbalimbali za Serikali na kuhamasisha Vijana kwenda Vituo vya Polisi na wakasema atakayekwenda kwenye Vituo vya Polisi atashughulikiwa kwa haraka sana”

“Kauli hii ya Polisi tumeichukulia kwa uzito mkubwa sana kwasababu August 09,2024 Polisi walitoa kauli kama hiyo wakati Vijana wakijiandaa kuadhimisha Siku ya Vijana kule Mbeya August 12,2024 na baada ya kauli hiyo Viongozi wetu walianza kukamatwa wakaumizwa vibaya na Vijana wetu wengine wakakamatwa ndio maana tumeona kauli hii tusiiache iendelee kubaki hata kwa dakika moja kwasababu kwanza ni kauli ya uongo lakini pili ni kauli ambayo ni hatari na inahatarisha usalama wa Viongozi na Wanachama wa CHADEMA”

“Tangu hukumu ya Mahakama Kuu tarehe 28 hakuna kikao chochote kilichofanyika kuanzia kwa zoom au cha kawaida, kwahiyo Polisi kutoa kauli kama hii ya kizushi na ambayo inasababisha taharuki kwa Umma, tunalitaka Jeshi la Polisi wathibitishe kauli yao kwasababu ni jaribio lingine la kunyanyapaa Viongozi wa CHADEMA kutufanya Wahalifu wakati CHADEMA sio Chama cha kihalifu, vilevile tunalitaka Jeshi la Polisi litoe ushahidi hadharani” —— Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam leo August 30,2024

Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

My Take
Imagine nchi inakuwa na chombo muhimu kama hiki halafu ndio kiwanda kikuu cha uongo
Hii statement ya polisi mezidi ujuha Ile ya Sirro na gari lilomteka Mo Dewji.
 
Polisi wametoa taarifa leo walizoita za uhakika kwamba wamepata taarifa Viongozi wa CHADEMA wamefanya kikao kwa njia ya zoom na kuhamasisha Wafuasi wetu kwenda Ofisi mbalimbali za Serikali na kuhamasisha Vijana kwenda Vituo vya Polisi na wakasema atakayekwenda kwenye Vituo vya Polisi atashughulikiwa kwa haraka sana”

“Kauli hii ya Polisi tumeichukulia kwa uzito mkubwa sana kwasababu August 09,2024 Polisi walitoa kauli kama hiyo wakati Vijana wakijiandaa kuadhimisha Siku ya Vijana kule Mbeya August 12,2024 na baada ya kauli hiyo Viongozi wetu walianza kukamatwa wakaumizwa vibaya na Vijana wetu wengine wakakamatwa ndio maana tumeona kauli hii tusiiache iendelee kubaki hata kwa dakika moja kwasababu kwanza ni kauli ya uongo lakini pili ni kauli ambayo ni hatari na inahatarisha usalama wa Viongozi na Wanachama wa CHADEMA”

“Tangu hukumu ya Mahakama Kuu tarehe 28 hakuna kikao chochote kilichofanyika kuanzia kwa zoom au cha kawaida, kwahiyo Polisi kutoa kauli kama hii ya kizushi na ambayo inasababisha taharuki kwa Umma, tunalitaka Jeshi la Polisi wathibitishe kauli yao kwasababu ni jaribio lingine la kunyanyapaa Viongozi wa CHADEMA kutufanya Wahalifu wakati CHADEMA sio Chama cha kihalifu, vilevile tunalitaka Jeshi la Polisi litoe ushahidi hadharani” —— Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam leo August 30,2024

Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

My Take
Imagine nchi inakuwa na chombo muhimu kama hiki halafu ndio kiwanda kikuu cha uongo
Ccm bwana
 
Polisi wametoa taarifa leo walizoita za uhakika kwamba wamepata taarifa Viongozi wa CHADEMA wamefanya kikao kwa njia ya zoom na kuhamasisha Wafuasi wetu kwenda Ofisi mbalimbali za Serikali na kuhamasisha Vijana kwenda Vituo vya Polisi na wakasema atakayekwenda kwenye Vituo vya Polisi atashughulikiwa kwa haraka sana”

“Kauli hii ya Polisi tumeichukulia kwa uzito mkubwa sana kwasababu August 09,2024 Polisi walitoa kauli kama hiyo wakati Vijana wakijiandaa kuadhimisha Siku ya Vijana kule Mbeya August 12,2024 na baada ya kauli hiyo Viongozi wetu walianza kukamatwa wakaumizwa vibaya na Vijana wetu wengine wakakamatwa ndio maana tumeona kauli hii tusiiache iendelee kubaki hata kwa dakika moja kwasababu kwanza ni kauli ya uongo lakini pili ni kauli ambayo ni hatari na inahatarisha usalama wa Viongozi na Wanachama wa CHADEMA”

“Tangu hukumu ya Mahakama Kuu tarehe 28 hakuna kikao chochote kilichofanyika kuanzia kwa zoom au cha kawaida, kwahiyo Polisi kutoa kauli kama hii ya kizushi na ambayo inasababisha taharuki kwa Umma, tunalitaka Jeshi la Polisi wathibitishe kauli yao kwasababu ni jaribio lingine la kunyanyapaa Viongozi wa CHADEMA kutufanya Wahalifu wakati CHADEMA sio Chama cha kihalifu, vilevile tunalitaka Jeshi la Polisi litoe ushahidi hadharani” —— Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam leo August 30,2024

Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

My Take
Imagine nchi inakuwa na chombo muhimu kama hiki halafu ndio kiwanda kikuu cha uongo
Nasema hii nchi imearibiwa na watu wachache sana ,taifa likifika hatua ambapo taifa letu limefika jua hakuna aliesalama,bila kujali ni kiongozi wa aina gani na kwa level gani, mamlaka uliyo nayo au hu raia, mwanachama .wa chama chochote cha siasa.

Nini namanisha , ukitoa kauli ya namna hii kisa umeshika makali kesho watu wakaumia , huwezi jua alieumizwa humo ndani ya ofisi yako yupo na ndugu ,rafiki au awaye yoyote ambae anaweza kuguswa na mambo haya ya kihuni,

Mwisho mnajikuta mnaanza kufukiwa midomo ikiwa wazi

Hii ni mbaya sana japo wengi kwa upofu wa dunia ,madaraka ,uchawa wanaona wapo safe ,twende tu mtakuja jionea wenyewe ni swala la mda
 
Police jamani kwanini mhangaike na chadema?
Hao ni watu wanafanya shughuli halali za siasa
 
Hadi Dec 2024 watakuwa wametoa matamko ya kunusa njama za uvunjifu wa amani zaidi ya 1000.

Usipotenda HAKI hata nyumbani kwako watoto na mama yao wakicheka unahisi wanakuteta.
 
Polisi wametoa taarifa leo walizoita za uhakika kwamba wamepata taarifa Viongozi wa CHADEMA wamefanya kikao kwa njia ya zoom na kuhamasisha Wafuasi wetu kwenda Ofisi mbalimbali za Serikali na kuhamasisha Vijana kwenda Vituo vya Polisi na wakasema atakayekwenda kwenye Vituo vya Polisi atashughulikiwa kwa haraka sana”

“Kauli hii ya Polisi tumeichukulia kwa uzito mkubwa sana kwasababu August 09,2024 Polisi walitoa kauli kama hiyo wakati Vijana wakijiandaa kuadhimisha Siku ya Vijana kule Mbeya August 12,2024 na baada ya kauli hiyo Viongozi wetu walianza kukamatwa wakaumizwa vibaya na Vijana wetu wengine wakakamatwa ndio maana tumeona kauli hii tusiiache iendelee kubaki hata kwa dakika moja kwasababu kwanza ni kauli ya uongo lakini pili ni kauli ambayo ni hatari na inahatarisha usalama wa Viongozi na Wanachama wa CHADEMA”

“Tangu hukumu ya Mahakama Kuu tarehe 28 hakuna kikao chochote kilichofanyika kuanzia kwa zoom au cha kawaida, kwahiyo Polisi kutoa kauli kama hii ya kizushi na ambayo inasababisha taharuki kwa Umma, tunalitaka Jeshi la Polisi wathibitishe kauli yao kwasababu ni jaribio lingine la kunyanyapaa Viongozi wa CHADEMA kutufanya Wahalifu wakati CHADEMA sio Chama cha kihalifu, vilevile tunalitaka Jeshi la Polisi litoe ushahidi hadharani” —— Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam leo August 30,2024

Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

My Take
Imagine nchi inakuwa na chombo muhimu kama hiki halafu ndio kiwanda kikuu cha uongo
Baada ya kuona tamko la jeshi la polisi Tanzania katika mitandao mbalimbali.
Nimegundua umuhimu wa kuyafanyia kazi kwa haraka mapendekezo yaliyotolewa na tume ya haki jinai baada ya ukusanyaji wa maoni mbalimbali kwa wadau katika ujenzi wa jamii ya kidemokrasia.
Umuhimu huu nimeuona baada ya kusoma neno kwa neno katika taarifa hiyo ambayo sio tu kuacha mianya na kutoa maswali mengi lakini pia namna CDM watakavyotumia mifumo ya haki jinai katika kupata haki yake.

Babu yangu aliniambia wakati unaongea au kutoa taarifa angalia unaongea na nani, kipindi kipi, katika mazingira gani,na athari ya hicho unachokiongea katika jamii hiyo, kwani kauli yako unaweza kujenga au kubomoa.
Mwisho ingawa sio kwa umuhim sana, nchi yetu tumebarikiwa umoja, amani na upendo.Hii ni misingi hii imewekwa kwa muda mrefu na waasisi wa taifa letu.
 
Mkurugenzi wa Chadema mh Jon Mrema amesema " kama kuna Mtu Jeshi la Polisi wanadhani anawapa Taarifa za Chadema basi Mtu huyo anawadanganya na kuzidi Kuwadhalilisha"

Mrema alikuwa anazungumzia Taarifa za Chadema kudaiwa Kupanga kuvamia Vituo vya Polisi

Source: Ayo TV

Mlale Unono 😀
 
Wanalazimishwa kuonyesha uozo wao na wenyewe wamejaa kwenye mfumo
 
Kikao kilifanyika kwa njia zoom na kila kituo kimepangiwa vijana 20....aise huu ni weledi wa Jeshi la Police...
 
Binafsi ninajaribu kulifikiri hili kwa maana hii....

Chadema ni chama halali..

Kiko kisheria...kinatambulika na katiba ya nchi....

Hizi "mentality" za kuona vyama vya upinzani ni "scums" na "harmful bacteria" zinatoka wapi ?!!!

Na kwa upande wa CHADEMA...kwa kuwa wako kikatiba basi hatugemei wao kuchepuka(astray) kwa kusahau lengo la wao na wenzao kuwepo....

Kwa utulivu na usalama wa nchi ni lazima kuwe na "balance"....

Kukosekana huko ni kujitia katika NAKAMA...kuanzia KIFIKRA ,KIURITHI na baadaye kufikia mahala pabaya ambapo kutoka ni MAJUTO....

CCM kama chama tawala ,pamoja na kuwa na 10D's kisiasa ni lazima waendelee kuwekeza katika "think tanking" ambayo ina "balance" kubwa mno haswa katika kizazi hiki cha TEHAMA na "akili mnemba"....

"Think tanks" hao ni lazima waijue vyema CCM na malengo yale ya 1977 kwa rejea ya historia kuntu ya malengo ya 1954 na nyuma ya 1922 na uwiano wa kizazi chetu hichi cha sasa......

Malengo ya nchi ni makubwa zaidi ya CCM na wenzao akina CHADEMA.....

#Nchi Kwanza[emoji7]
#Chifu Hangaya ni mboni yetu [emoji7]
 
Back
Top Bottom