Miaka ya Seventies ndio Dodoma ilipatiwa hadhi ya kuwa makao makuu ya serikali, kama ni maendeleo tungeyaona just after ten years, na hii mambo imekaa sana kisiasa make mpaka sasa huwezi kabisa kuona kama Dodoma ni makao makuu ya serikali, we angalia tu miundo mbinu ya hayo makao makuu ya serikali, utafikiri ni kijiji underdevelopment scheme, huwezi jua kabisa hapa ni makao makuu ya serikali, i was in Dodoma for 4yrs in ninties, lakini nimekuwa nikipita hapo several times and i have never noticed any change, yaani badala ya kusonga mbele mimi binafsi naona retro-progressing, it is shame!!
lazima tunaposema kuwa tunaingia kwenye kitu fulani basi vitendo viwepo, kama ni makao makuu ya serikali mbona mpaka sasa Raisi na serikali yake wapo Dar, sasa Dodoma kuwa makao makuu inatoka wapi--------Nenda Lagos kama utakuta serikali ipo pale, serikali yote ilihamia Abuja baada ya kutangaza kuhamisha makao makuu ya serikali ya Nigeria. Tanzania tunabaki kubwabwaja tu wakati tunajua kuwa sio kweli.
Open up your scurs man, scrutch your bull if not brain