Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.
Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.
Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.
Miaka ya Seventies ndio Dodoma ilipatiwa hadhi ya kuwa makao makuu ya serikali, kama ni maendeleo tungeyaona just after ten years, na hii mambo imekaa sana kisiasa make mpaka sasa huwezi kabisa kuona kama Dodoma ni makao makuu ya serikali, we angalia tu miundo mbinu ya hayo makao makuu ya serikali, utafikiri ni kijiji underdevelopment scheme, huwezi jua kabisa hapa ni makao makuu ya serikali, i was in Dodoma for 4yrs in ninties, lakini nimekuwa nikipita hapo several times and i have never noticed any change, yaani badala ya kusonga mbele mimi binafsi naona retro-progressing, it is shame!!
lazima tunaposema kuwa tunaingia kwenye kitu fulani basi vitendo viwepo, kama ni makao makuu ya serikali mbona mpaka sasa Raisi na serikali yake wapo Dar, sasa Dodoma kuwa makao makuu inatoka wapi--------Nenda Lagos kama utakuta serikali ipo pale, serikali yote ilihamia Abuja baada ya kutangaza kuhamisha makao makuu ya serikali ya Nigeria. Tanzania tunabaki kubwabwaja tu wakati tunajua kuwa sio kweli.
Open up your scurs man, scrutch your bull if not brain
Bado tunahamisha makao makuu ya nchi kwa miaka 37! (1973-2010) na haijulikani hili zoezi litaisha lini. Only in Bongo! 😕
Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.
Mbona tulishaanza kuhama siku nyingi tu. Baadhi ya wizara watumishi wake walilipwa gharama zote za kuhama. Wizara ya Maji waliondoka pale Sokoine Drive kuelekea Dodoma wakaishia Ubungo enzi za EL akiwa waziri. TAMISEMI wao walitangulia siku nyingi ingawa bado hawajafika huko Dodoma.watahama mwaka ujao wa fedha!!
Moja ya sera rasmi mpya za Chadema zilizotangazwa hivi karibuni ni kutohamishia makao makuu ya mji mkuu wa kiserikali na kibiashara kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa mambo ya nje wa chama hicho Bw. John Mnyika
.....Alisema mbali na azma yao ya kuachilia mbali mpango wa kuhamishia Makao Makuu kwenda Dodoma majengo yote ya serikali Dodoma yatageuzwa kuwa vyuo vikuu vya elimu na vyuo vya ufundi ili jiji hilo liwe kitovu cha elimu nchini......
......ni kitu gani kilichokifanya Chama cha Mapinduzi CCM miaka ya sabini kiwe na kusudio la kuhamia Dodoma je hilo kusudio kwa sasa bado lipo na je kwa nini Chadema hawataki makao makuu ya nchi yawe Dodoma, tujiulize ni gharama au ni kutaka tu kutofautiana
Mbona tulishaanza kuhama siku nyingi tu. Baadhi ya wizara watumishi wake walilipwa gharama zote za kuhama. Wizara ya Maji waliondoka pale Sokoine Drive kuelekea Dodoma wakaishia Ubungo enzi za EL akiwa waziri. TAMISEMI wao walitangulia siku nyingi ingawa bado hawajafika huko Dodoma.
Maofisa wa wizara hizi "zilizohama" wakienda Dodoma wanalipwa tena posho! Hivyo ndivyo tunavyoendesha nchi bila utashi na nia ya kweli kutekeleza yale tunayoyaamua.
Ndio CHADEMA,wameonyesha kuchoshwa na siasa za CCM zisizokuwa na masilai kitaifa,tokea tuko wadogo tunasikia serikali inaamia Dodoma lakini mpaka sasa nina miaka 30 akuna kilichofanyika,zaidi zaidi ni hawa viongozi wa CCM tuna banana nao B-Bar kila siku,ukiwa umeagiza nyama yako akija yeye anapewa kabla yako ata kama amechelewa,kwenye ATM wanawatukana na kuwafukuzisha kazi ndugu zetu walinzi wa ATM kisa kuwambia wakae pembeni ili kupisha wateja wengine.
Tunateseka sana na hawa viongozi wa CCM kwani wao wamekuwa ni miungu watu siku hizi,kiongozi yoyote wa CCM atakama ameteuliwa jana anajiona watu wote wana mfaamu kwaiyo anafanya anavyotaka.
Serikali ya CCM imeshindwa kuiga mfano wa NIGERIA katika kutenganisha mji wa Abuja na Lagos,wangeamia mji mwingine kama Dodoma/Moro mji huo ungeendelea kwa kasi sana ila awataki wanataka kukaa Dar es salaam tu kila kitu Dar es salaam.
Na kwa taarifa yetu maafisa na wahandisi kutoka Serikali ya Nigeria miaka hiyo ya nyuma walikuja kujifunza kutoka Tanzania mbinu za kuhamisha Makao Makuu toka Lagos kwenda Abuja. Labda tuwaulize waliokuwa CDA ilikuwaje Nigeria wakatu-overtake baada ya kujifunza kutoka kwetu? Tanzania itajengwa na wenye Moyo!
I salute you sir and I totally agree with you that Tanzania itajengwa na wenye moyo safi na wazalendo halisi. But all in all CDA was the "authority" ndio waliokuwa wamepewa jukumu la usimamizi na utekelezaji kwa hiyo wao wako kwenye position nzuri ya kutuelewesha vizuri zaidi ni wapi tulipokwama na kwa nini tulikwama katika azma ya Serikali kuhamia Dodoma maana. Perdiem is such a flimsy excuse!Hakuna haja ya kutafuta mchawi wakati anajulikana tusiwasingizie CDA wao wanapokea amri kutoka serikali kuu Tanzania haitajengwa na wenye moyo pekee bali wenye moyo safi na wazalendo halisi wa Tanzania.
nikweli chadema wanahuruma na fedha zitakazo tumika wakati huwo ni bora sekta muhimu ziboreshweSasa mkuu huoni kuwa pia wanafunzi wanahitaji huduma muhimu ambazo hazitapatikana huko mapolini nafikiri labda Chadema imeona kuhamia Dodoma italigharimu taifa mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kusaidia secta zingine
YOU KNOW WHAT.....!Hivi CHADEMA wanadhani they are the only 'brains' in this country? John Mnyika aende Lagos na Abuja aone jinsi ambavyo kutenganisha Lagos kuwa mji wa biashara na Abuja kuwa mji wa Serikali kulivyoisaidia Nigeria. Hivi sasa jiji la Dar es Salaam karibu litafika Kibaha. Serikali ikihamia Dodoma kutakuwa na idadi kubwa ya watu watakaohama hapa jijini kuifuata Serikali na kupunguza msongamano uliopo.
Tanzania bado inayo mapori mengi mno yanayosubiri kufyekwa ambako kunaweza kuwa 'vitovu vya elimu' wanavyotaka Chadema. Kwanza wanafunzi wanahitaji sehemu tulivu kwa nini iwe mjini Dodoma ambako tayari kuna vurugu?