Uongo upi. Propaganda hadi kwenye maisha na hatima za watu haifai. Kasome kwa mdudeUongo utakusaidia nini?
Chama kichanga tayari kina makundi hii ni hatari saanaHapo hutomuona yule mlevi wa mbege John Mrema kutoa ufafanuzi...
Maana hao sio wenzetu, walijichanganya.
Chama chako hicho mdude karibu mbeyaMdude amesikitika sana.
π
Chama kinapitia ukata mkubwa wa fedha na madeni makubwa na yasiyolipika kwasasa. Hakuna namna chadema inaweza kufanya chochote kwa sasa, labda Mdudu mwenyewe apitishe bakuli kwa wadau.Mdude amesikitika sana.
π
Tafuta wakili, weka account number tuchangie pesa ya kumpa wakili.Mdude amesikitika sana.
π