CHADEMA yatajwa mgomo chuo kikuu...

kama ndiyo basi wakubali kumbe chadema ilishinda kwani huwezi ukawa na ushawishi wa kila sehemu kama hukubariki waipishe iongoze nchi.....

mkuu si unakumbuka mgogoro wa kufunga vyuo kipindi kile cha uchaguzi ili wasomi wa vyuo vikuu wasipige kura.
 

kukatza watu wasidahiliwe chuo kingine chochote,kisa wamefukuzwa chuo kikuu cha Dar es salaam ni ukatili wa aina yake,hawa jamaa ukikwazana nao wanaweza kukufutia ata uraia.
 
CHADEMA=UDSM!!nahamini hki kitu kitakuwa sawa.
Nitaanza na vigezo vifuatavyo :-
1.Wote wana-tabia ya kudai haki kwa njia ya maandamano.
2.Wote ni waoga,wakitishiwa nyau tu wanarudi tunduni.
3.Viongozi wao ,wengi wao ni wanafiki.
4.Wanapenda sifa kwa wananchi.
5.Wote umaarufu unapotea au unapungua kwa speed ya ligh.
6.Maandamano yao uwa hayana mafanikio.
7.....
8,....
9.....
Ebu endelezeni ndugu zangu wapendwa!!
Kama unabisha,"raise intellectual defence".
SOURCE:wanaojielewa wote watakuwa na source.
 

udsm sasa hivi ni kama kambi ya jeshi,polisi wanashinda chuoni eti wakizuia maandano kwa siku nne sasa, sasa sijui hizo ela za kuwalipa polisi waolinda chuo kila siku na kujaza magari mafuta yashinde yanazunguka chuoni zinatoka wapi.
 
Hii serikali ya CCM imelaniwa,imeshindwa kutimiza mahitaji ya wanafunzi wanasema eti Chadema wanawashawishi wagome,wakati ujambazi wao,wizi wao na kukosa utu katika kutumia kodi za watanzania ndiyo unaosababisha matatizo yote hapa nchini.
 
acha kulinganisha chuo na chama hayo ni mawazo mafuu huna jipya kilaza wee
 
Virauni unayetumiwa na majambazi,majizi wa CCM Kueneza propaganda ili muendelee kuwaibia watanzania mali zao,unatumika vibaya wewe mke mdogo wa Nape!
 
Stop insulting your own intelligence..The equation is absurd.
 
Hii serikali ya CCM imelaniwa,imeshindwa kutimiza mahitaji ya wanafunzi wanasema eti Chadema wanawashawishi wagome,wakati ujambazi wao,wizi wao na kukosa utu katika kutumia kodi za watanzania ndiyo unaosababisha matatizo yote hapa nchini.

wanazidi kuipandisha chadema maana inaonekana kila penye tatizo chadema inakuepo.
 
Ile udsm ya mkandara? subirini itawatokea puani na mtajuta kufukuza watoto wa maskini kwa maagizo ya ccm
 
jaman kuna mashoga humu,.yaan wadogo ze2 wanafukuza kwa kudai haki mnafananisha na chadema..njoo nikusugue kwa gunzi kwan naona basha lako halikutimizii vizuri..
 
upuuzi mtupu.! Umeandika upuuzi wazo lako la kipuuzi sana. Nami nakupuuza ww mpuuzi
 
jaman kuna mashoga humu,.yaan wadogo ze2 wanafukuza kwa kudai haki mnafananisha na chadema..njoo nikusugue kwa gunzi kwan naona basha lako halikutimizii vizuri..

Wewe kweli TAHILA,kosa langu ni nini hapo??
SHANGAZI MKUBWA WW!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…